spencer
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 3,599
- 3,220
GreaThinkers,
Kuna Tetesi ya kutolewa hadharani matokeo ya Uchaguzi 2010 visiwani ambapo kwa tetesi zilizoenea mdogo mdogo ni kuwa Maalim(CUF) alimshinda Shein(CCM) kwa tofaouti ya kura zisizopungua elfu Ishirini ivi(20,000)
Baada ya kikao cha siri baina ya wakubwa hao, kura zilirekebishwa na ule msimamo wa CUF wa kuwa na Serikali tatu ukafia pale pale. Hakuna hakika kama Katiba ya CUF pia imerekebishwa hapa.
Tetesi zinasema CUF inaelekea kumegeka na kuwa kundi kubwa la Hamad ni bara na Unguja huku CUF ya Pemba inamuunga mkono Seif.
Hamad anaweza kuanzisha Chama chake ilaTetesi zinasema pia kuwa anataka kuunga mkono chama kimojawapo chenye nguvu Tanganyika
Je ni kweli akijiunga na chama chenye nguvu Tanganyika atafanikiwa?
Je akianzisha Chama chake atafanikiwa?
Nini maoni yako?
Kuna Tetesi ya kutolewa hadharani matokeo ya Uchaguzi 2010 visiwani ambapo kwa tetesi zilizoenea mdogo mdogo ni kuwa Maalim(CUF) alimshinda Shein(CCM) kwa tofaouti ya kura zisizopungua elfu Ishirini ivi(20,000)
Baada ya kikao cha siri baina ya wakubwa hao, kura zilirekebishwa na ule msimamo wa CUF wa kuwa na Serikali tatu ukafia pale pale. Hakuna hakika kama Katiba ya CUF pia imerekebishwa hapa.
Tetesi zinasema CUF inaelekea kumegeka na kuwa kundi kubwa la Hamad ni bara na Unguja huku CUF ya Pemba inamuunga mkono Seif.
Hamad anaweza kuanzisha Chama chake ilaTetesi zinasema pia kuwa anataka kuunga mkono chama kimojawapo chenye nguvu Tanganyika
Je ni kweli akijiunga na chama chenye nguvu Tanganyika atafanikiwa?
Je akianzisha Chama chake atafanikiwa?
Nini maoni yako?