Dogo na wewe malizia malizia
Kweli huyo kitu huwa haina makombo ila ukitawaliwa na wivu lazima utahisi uliyonayo ni makombo na ukizidi zaidi utachimba mpaka utaona ni matapishi na si makombo tena ila kimsingi HUWA HAKUNA MAKOMBO other wise usinge zaliwa unadhani aliyekuleta hapa duniani alikutwa BIKRA na baba yako. MAKOMBO MAKOMBO acheni fikra za kipumbavu za kurudishana nyuma huyo ni Wema mtu maarufu hapa bongo ndio maana tunajua uchafu wake ila umeshakaa ukajiuliza kuhusu uchafu wa demu wako tusiyemjua na madudu yake ya gizani...unaweza kuta ni kinyaa kuliko hayo ya wema....acheni upuuuzi. MCHEKI DEMU WAKO VIZURI UNAWEZA KUTA ANATOA TENDE PALE SEWA BAR
Wema mtamu jamani acheni mchezo, lips julujulu na ukiunganisha la Diamond mhhhhhhhhhh, waacheni wale maraha hao, Wema akinipa hata mie nalamba acha waseme....