Elia
JF-Expert Member
- Dec 30, 2009
- 3,425
- 567
Ha ha ... mi huwa nashangaa inakuwaje yule jamaa na timu yote anaenda ukweni usiku?
Mkuu ni majukumu, foleni nk nk!
Ha ha ... mi huwa nashangaa inakuwaje yule jamaa na timu yote anaenda ukweni usiku?
na kati ya matangazo yote ya hapa tz, lipi unalipenda na kwa vigezo gani?
Nalipenda la nipige tafu voda!
mbona kama hii sura ndo ile ya nipige tafu voda!?
na kati ya matangazo yote ya hapa tz, lipi unalipenda na kwa vigezo gani?
Alafu pale wakamwekea limpenzi fulani, sijui anatokea mkoa gani wa tz yule... unaweza kubashiri?
Alafu pale wakamwekea limpenzi fulani, sijui anatokea mkoa gani wa tz yule... unaweza kubashiri?
MaraAlafu pale wakamwekea limpenzi fulani, sijui anatokea mkoa gani wa tz yule... unaweza kubashiri?
huyu dada mtu ukisafiri hautakuwa na amani anaonekana mjanja na mpenda matanuzi.
binafsi nilikua navutiwa sana na lile la zain la 'uhuru wa kuongea,eenh,eenh".
Aisee mie yule baba wa binti ndio huwa ananikosha.anatabasamu zuri sana lenye kumtoa nyoka pangoni.yaan nataman ningekuwa infii wake maana yule mzee anajua kubembeleza.angekuwa ananiambia 'chanda chema huvishwa pete mpnz'