Halmashauri zetu na matokeo ya darasa la saba

rushanju

JF-Expert Member
Nov 3, 2011
3,130
4,620
kwa mshangao mkubwa kabisa napata shida ya kutafuta matokeo ya mwanangu aliyemaliza darasa la saba. Halmashauli nyingi hazina website na zilizo na website hawajeka. Halmashauri hizi hutengewa kiasi kikubwa sana cha hela kwenye idara zao za kompyuta. Wadau nauliza tatizo ni nini kwa nini kila halmashauri isitengeneze site yake na matokeo kutupia hapo kwenye mtandao????
 
Kwani una Imani na hao IT manager wao. Wengi wameajiriwa kwa vimemo... Hamnazo. Husitegemee kitu kama hicho kwa Tanzahia ya sasa.
 
Nilitaka kuuliza swali kama hilo lkn umeniwahi. Nimetafuta kwenye mtandao sikupata. Nilidhani halmashauri za Dar watakuwa sharp kuweka kwenye mtando kumbe ndo ovyooo Hovyooo. Chama dhaifu huzaa viongozo dhaifu na halmashauri dhaifu...
 
serikali za mitaa mambo yao ni ya kitaa
serikali inapoteza mabilioni ya pesa kupitia Halmashauri. ni bora zamani NYERERE alivyo kuwa anatuma watu kutoka wizarani mojakwa moja kwenda kuanzisha mradi fulani mahali fulani kuliko kuzitumia Halmashari, fedha inaliwa mbaya na walaji ni wengi.local governments ni local kwelikweli.
 
Naomba msaada wa jinsi ya kujua ufaulu wa mtoto wangu badala ya kujua tu amefaulu na amechaguliwa shule fulani, nataka kujua kiwango cha ufaulu wake tafadhalia.
 
Back
Top Bottom