Kashaijabutege
JF-Expert Member
- Oct 20, 2010
- 2,696
- 740
Nimefurahi sana kusikia Halmashauri 3 ambazo ni ngome ya CHADEMA zimeshika nafasi 3 bora katika usafi wa miji na majiji.
Hii inamaanisha, tukitaka miji safi, basi Halmashauri zote ziongozwe na CHADEMA.
1. Mwanza
2. Moshi
3. Arusha
Chanzo: Taarifa ya Habari ya Channel Ten ya saa 1 usiku, tarehe 5 Juni 2012.
Hii inamaanisha, tukitaka miji safi, basi Halmashauri zote ziongozwe na CHADEMA.
1. Mwanza
2. Moshi
3. Arusha
Chanzo: Taarifa ya Habari ya Channel Ten ya saa 1 usiku, tarehe 5 Juni 2012.