kipindupindu
JF-Expert Member
- Dec 16, 2010
- 1,053
- 170
Ule mpango wa kuimarisha huduma za usafiri mama mjazito umeanza kutekelezwa,mpango huu unahusisha halmashauri kupatiwa bajaji zitakazotumika kama ambulance.
Kuna mdau mmoja kutoka halmashauri moja amenieleza wametumia sio chini ya Tsh.milioni 4 katika kufuatilia bajaji 1 kwa ajili ya kituo cha afya.
Ndugu kwani bei ya kile kibajaji kimoja ni sh ngapi?
Mpango huu hautachangia kupoteza mamilioni ya walipa kodi burebure?
Kuna mdau mmoja kutoka halmashauri moja amenieleza wametumia sio chini ya Tsh.milioni 4 katika kufuatilia bajaji 1 kwa ajili ya kituo cha afya.
Ndugu kwani bei ya kile kibajaji kimoja ni sh ngapi?
Mpango huu hautachangia kupoteza mamilioni ya walipa kodi burebure?