mzizi dawa
Senior Member
- Mar 1, 2012
- 118
- 12
Alimashauri ya wilaya monduli miaka mitatu ilipita walitenga eneo la viwanja kwa wakazi wa kata ya mondumjini,baada ya wakazi wachache kukosa viwanja kwenye eneo la awali lililotwengwa,eneo la awali uwalichezeka mchezo mchafu kwaaliekua diwani wa kata monduli mjili kua na viwanja zaidi ya 20 nakuwamilikisha vingine watu wakaribu yake.ivi vasasa mbunge wa MONDULI EDUWADI LOASA ana viwanja 70 na dada yake ana viwanja 30,vilivo baki walipewa waliokosa kwenye viwanja vaawali na vingine walipewa makada wa CCM uku wale walio onekana kwenye uchaguzi mkuu ulie pita kua walikua wafuasi au walipiga Kura CHADEMA hakuna ata mmoja aliepata kiwanja.JE HII INATUFUNDISHA KUA TANZANIA NIYA WANA CCM PEKEE!!!