PatPending
JF-Expert Member
- Aug 17, 2007
- 491
- 101
Kama kawaida sisi binadamu hutambua kasoro zaidi ya yale yalio sawa. Vifuatacho hapa naomba kisiwe kigezo pekee cha kutathmini utendaji wenu wa kazi ila nashauri myape uzito husika na yachukulieni kama changamoto ya kutekeleza wajibu wenu kwa wananchi.
1) Barabara zenu zimejaa mashimo sana na pia ni chafu kupindukia mfano mzuri ni barabara ya zamani ya Bagamoyo
2) Mitaro yenu ni michache na ile iliyopo ipo katika hali duni sana kwa maana ya kutofanyiwa usafi wa mara kwa mara, hali ambayo imepelekea mingi kuziba na kuwapa kero kubwa wananchi
3) Barabara zenu pia ni chafu kupindukia. Zimejaa michanga na takataka nyinginezo
Wadau kuweni huru kuongezea kero orodha ya kero hizi
1) Barabara zenu zimejaa mashimo sana na pia ni chafu kupindukia mfano mzuri ni barabara ya zamani ya Bagamoyo
2) Mitaro yenu ni michache na ile iliyopo ipo katika hali duni sana kwa maana ya kutofanyiwa usafi wa mara kwa mara, hali ambayo imepelekea mingi kuziba na kuwapa kero kubwa wananchi
3) Barabara zenu pia ni chafu kupindukia. Zimejaa michanga na takataka nyinginezo
Wadau kuweni huru kuongezea kero orodha ya kero hizi