BONGE BONGE
JF-Expert Member
- Oct 19, 2011
- 3,721
- 2,106
Wakati Halmashauri za wilaya zikipokea chini ya 23% ya keki ya taifa (77% kwa ajili ya safari za nje ya nchi na mambo mengine kwenye mawizara), ile singo maarufu inayopigiwa upatu na baadhi ya viongozi ambao ama ni wavivu kufikiri kwa makusudi au wanasukumwa na hoja nyepesi pamoja na utashi binafsi ya "Halmashauri kuna Mchwa" imeibuka tena na kupromotiwa; Safari hii ni Augustine Mrema, yule Mwenyekiti aliyechoka; mwenyekiti wa TLP na kamati ya Bunge ya hesabu za Serikali za Mitaa; Anataka kuwaaminisha watanzania wasio na fikra kwamba umaskini wao unatokana na ama uzembe au Halmashauri hizi kula fedha zao.
Nawasilisha
Nawasilisha