Halmashauri/Manispaa Zetu na kodi ya maegesho ya magari (Parking Fee)

hakisoni

JF-Expert Member
Oct 13, 2012
476
98
Hivi huu utaratibu wa kila halmashauri/municipal kujiwekea viwango tofauti tofauti vya maegesho ya magari wanatupeleka wapi?? mbona hatujulishwi vizuri dhana hii au ni yaleyale? nauliza hivi kwa sababu nimeshuhudia tozo hizi kwenye maeneo mbali mbali tena maeneo mengine ni aibu tupu. unatozwa kodi ya maegesho sehemu ambayo hata ukimuonesha mtu atashanga mfano ngaramtoni arusha tshs 1000 kwa gari pickup, canter 2000, namanga canter 5000, pkup 2500. arusha mjini canter 2500,puck 1000. kwanini viwango siyo sawa? na je maegesho mengine hayafai hata kuuza hela kama hiyo? pabovu sana kwa nini tunaumizwa bila sababu na serekali yetu ni moja?
 
Kwanza MUNICIPAL / COUNCIL yanautofati kidogo kwa maana ya Council ni Halmashauri ambayo yaweza kuwa Town (Mji), District (Wilaya), Municipal (Manispaa) na City (jiji).

Back to your post: With my elementary knowledge on the operations of our councils, The Full Council (ambayo ni "kikao" cha juu kabisa cha Halmashauri kinachojuisha WADIWANI WOTE HUSIKA including mbunge wa eneo husika, Mkurugenzi wa Halmashauri (Katibu wa Full Council) determines the parking fees. Japo halmashauri huwa zina kamati pia.

Parking fees huwa zinaangalia "eneo" kwa mfano Dar Es Salaam na kwingineko sehemu yenye magari mengi wanaweka fees kubwa.... kwa ulimbukeni wa kuzuia magari yasiingie mengi mjini na hivyo kupunguza foleni badala ya kutatua tatizo la msingi la foleni. Lakini pia kwa ulimbukeni wa kama JK alivyosema magari mengi / foleni ni ishara ya maendeleo and therefore owners can afford paying for the fees. Hivyo fees inatofautiana kwa ujinga huo.....
 
Kwanza MUNICIPAL / COUNCIL yanautofati kidogo kwa maana ya Council ni Halmashauri ambayo yaweza kuwa Town (Mji), District (Wilaya), Municipal (Manispaa) na City (jiji).

Back to your post: With my elementary knowledge on the operations of our councils, The Full Council (ambayo ni "kikao" cha juu kabisa cha Halmashauri kinachojuisha WADIWANI WOTE HUSIKA including mbunge wa eneo husika, Mkurugenzi wa Halmashauri (Katibu wa Full Council) determines the parking fees. Japo halmashauri huwa zina kamati pia. The regulations must be passed by the full council and then approved the Minister responsible for Local Government.

Parking fees huwa zinaangalia "eneo" kwa mfano Dar Es Salaam na kwingineko sehemu yenye magari mengi wanaweka fees kubwa.... kwa ulimbukeni wa kuzuia magari yasiingie mengi mjini na hivyo kupunguza foleni badala ya kutatua tatizo la msingi la foleni. Lakini pia kwa ulimbukeni wa kama JK alivyosema magari mengi / foleni ni ishara ya maendeleo and therefore owners can afford paying for the fees. Hivyo fees inatofautiana kwa ujinga huo.....
 
Back
Top Bottom