hallow

halaf mbona tangu mwaka jana una kapost kamoja tu wewe au umepotelewa na ka pasiwedi kako? hata hivyo karib sana huyo hapo juu ndo tracy.
 
halaf mbona tangu mwaka jana una kapost kamoja tu wewe au umepotelewa na ka pasiwedi kako? hata hivyo karib sana huyo hapo juu ndo tracy.

naona password aliipangusa kipindi anapiga deki.....haya huyo hapo kabla ya hii post ndo klorokwin na kama kuna aliyeniwahi kabla ya hii post basi ni anayefuatia baada ya tracy
 
naona password aliipangusa kipindi anapiga deki.....haya huyo hapo kabla ya hii post ndo klorokwin na kama kuna aliyeniwahi kabla ya hii post basi ni anayefuatia baada ya tracy
halaf jamaa anaitwa ocheke sjui kama hana DNA ya kinaijeria.

bek to ze topik: karib mheshimiwa ocheke
 
By the way guys ... I like Tracy She Looks So delicate ............!!!!!, I hope she is like this in really life....
what an angel...
avatar26689_3.gif
 
kama sio naijeria basi lazima zile kitu nyeusi nyeusi za kenya zinahusika kwenye huu uumbaji a.k.a jaluo
mimi ningeomba jamaa aongeze post ya pili kutaja jinsia yake tu, si umeskia kama wamenipatia uwaziri wa mahesabu ya sensa hapa JF.
 
hehehe tumsubirie tracy akatolee maelezo ya kukidifendi adhawaizi komenti yako itapewa hadhi ya faifu star.

itabidi amtafute yule mwanasheria sijui nani nani hiza sijui nasikia siku hizi amekosa kazi anashughulika na umbea
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom