halaf mbona tangu mwaka jana una kapost kamoja tu wewe au umepotelewa na ka pasiwedi kako? hata hivyo karib sana huyo hapo juu ndo tracy.
halaf jamaa anaitwa ocheke sjui kama hana DNA ya kinaijeria.naona password aliipangusa kipindi anapiga deki.....haya huyo hapo kabla ya hii post ndo klorokwin na kama kuna aliyeniwahi kabla ya hii post basi ni anayefuatia baada ya tracy
halaf jamaa anaitwa ocheke sjui kama hana DNA ya kinaijeria.
bek to ze topik: karib mheshimiwa ocheke
mimi ningeomba jamaa aongeze post ya pili kutaja jinsia yake tu, si umeskia kama wamenipatia uwaziri wa mahesabu ya sensa hapa JF.kama sio naijeria basi lazima zile kitu nyeusi nyeusi za kenya zinahusika kwenye huu uumbaji a.k.a jaluo
By the way guys ... I like Tracy She Looks So delicate ............!!!!!, I hope she is like this in really life....
what an angel...
mimi ningeomba jamaa aongeze post ya pili kutaja jinsia yake tu, si umeskia kama wamenipatia uwaziri wa mahesabu ya sensa hapa JF.
halaf haka katoto kwenye avatar kana macho udaku bana. umekashtukia?By the way guys ... I like Tracy She Looks So delicate ............!!!!!, I hope she is like this in really life....
what an angel...
itatumika fingaprinti system, labda tuchakachue kwa helizi.kaka mimi unihesabu mara mbili ilikama kuna ka mgao ka chochote niwe pazuri
halaf haka katoto kwenye avatar kana macho udaku bana. umekashtukia?
itatumika fingaprinti system, labda tuchakachue kwa helizi.
hehehe tumsubirie tracy akatolee maelezo ya kukidifendi adhawaizi komenti yako itapewa hadhi ya faifu star.yaaani kanavyo angalia kako excited kama kameona mambo yanayo kazidi umri
Karibu sana ila usiwe mdadisi sana kama Tracy!!!!By the way guys ... I like Tracy She Looks So delicate ............!!!!!, I hope she is like this in really life....
what an angel...
hehehe tumsubirie tracy akatolee maelezo ya kukidifendi adhawaizi komenti yako itapewa hadhi ya faifu star.
Karibu sana ila usiwe mdadisi sana kama Tracy!!!!