B bwanamatata Member Feb 8, 2011 26 2 Feb 22, 2011 #1 Mimi ni Bwanamatata, Nimejiunga na JF. All the best to all members
W Wakuchakachua JF-Expert Member Nov 2, 2010 346 9 Feb 22, 2011 #3 mmh inaonyesh aumekuja na matta yako sa ku PM wenzi ndo nini hata hatujakujua vizuri mi staki bana!!!!!!:hand:
mmh inaonyesh aumekuja na matta yako sa ku PM wenzi ndo nini hata hatujakujua vizuri mi staki bana!!!!!!:hand:
G gogozito Member Dec 21, 2010 46 15 Feb 22, 2011 #4 Tunataka tuone matata yako uje na mada hii ni jamii ya watu wenye vichwa (great thinkers) karibu
C Capitalist Senior Member Feb 3, 2011 164 27 Feb 22, 2011 #5 Karibu uje na mambo mapya sio utuletee udini wa JK hapa.
Katavi Platinum Member Aug 31, 2009 41,983 12,702 Feb 22, 2011 #6 You are welcome, but with positive mind.
The Finest JF-Expert Member Jul 14, 2010 21,605 6,071 Feb 22, 2011 #7 Karibu Sana bwanamatata ila usiwe na matata
B bwanamatata Member Feb 8, 2011 26 2 Feb 23, 2011 Thread starter #9 Nawashukulu wote walionikalibisha, Hope tutashilikiana kulikwamua hili jahazi linalotaka kuzama.
WiseLady JF-Expert Member Jan 22, 2010 3,268 531 Feb 23, 2011 #10 karibu bwana matata,,,ila matata mh
TUKUTUKU JF-Expert Member Sep 14, 2010 11,765 4,033 Feb 24, 2011 #11 Mh!nachelea kukaribisha watata,JF itavurugika na kusambaratika!!