Che Kalizozele
JF-Expert Member
- Jul 20, 2008
- 777
- 49
Annina unajua maana ya kusamehe?
Kama unajua maana yake na kweli umemsamehe basi mkaribishe shangazi yako.
Annina unamwamini mchumba wako?
Kama unamwamini mchumba wako basi mkaribishe shangazi yako.
Siku zingine mpwa utafikiri sio wewe,maneno machache yenye ujumbe mzito.Aninna X-pin gave you a way out of your problem,kwani usipokuwa makini hautakuwa na amani milele.