Recta
JF-Expert Member
- Dec 8, 2006
- 855
- 38
Hivi imekuaje tena Mdee akaenda kugombea kwenye jimbo la Ubungo kwa Kamanda Mnyika??? Huyu Suleman hajui anachokisema kwa sababu Madale iko jimbo la Ubungo!!!!
Wamekamatika kila kona, mwaka huu hatudanganyiki!!!!!
Mkuu, Madale iko jimbo la Kawe.