Wana Chadema wanajifanya wako pure sana. Pretending to be the ushers of new dawn of transparency and utawala bora (Although they can't even balance budget ya chama).
Sasa muulizeni dada yenu Halima Mdee, kufanya mikutano ya siri usiku huko Madale, na kumuhonga (kutoa rushwa) kwa mwenyekiti wa mtaa wa CCM ili ampigie debe. And then akatuma vijana wake wakamdunde baada ya kuona kachakachuliwa.
Obviously sina uwezo wa kuweka evidence humu ndani, lakini muulizeni yule Ms. Mdee atawaeleza ukweli.
I'm just saying, halafu mnapata audacity ya kupiga makelele kuhusu rushwa. Look, ya'all can't win--not because CCM ni chama makini, its because you are not serious. Simplifying our problems, and offering populist ideas ili mshinde uraisi ndio maana wabongo wanawakataa.
By the way--Hai, Moshi Mjini, na kwa Zitto Kabwe. Patachimbika huko. Its not as easy kama wadau wanaoishi maisha ya kwenye internet wanavyofikiri.
Sasa muulizeni dada yenu Halima Mdee, kufanya mikutano ya siri usiku huko Madale, na kumuhonga (kutoa rushwa) kwa mwenyekiti wa mtaa wa CCM ili ampigie debe. And then akatuma vijana wake wakamdunde baada ya kuona kachakachuliwa.
Obviously sina uwezo wa kuweka evidence humu ndani, lakini muulizeni yule Ms. Mdee atawaeleza ukweli.
I'm just saying, halafu mnapata audacity ya kupiga makelele kuhusu rushwa. Look, ya'all can't win--not because CCM ni chama makini, its because you are not serious. Simplifying our problems, and offering populist ideas ili mshinde uraisi ndio maana wabongo wanawakataa.
By the way--Hai, Moshi Mjini, na kwa Zitto Kabwe. Patachimbika huko. Its not as easy kama wadau wanaoishi maisha ya kwenye internet wanavyofikiri.