Elections 2010 Halima Mdee--Madale Ni Aje?

Selemani

JF-Expert Member
Aug 26, 2006
947
292
Wana Chadema wanajifanya wako pure sana. Pretending to be the ushers of new dawn of transparency and utawala bora (Although they can't even balance budget ya chama).

Sasa muulizeni dada yenu Halima Mdee, kufanya mikutano ya siri usiku huko Madale, na kumuhonga (kutoa rushwa) kwa mwenyekiti wa mtaa wa CCM ili ampigie debe. And then akatuma vijana wake wakamdunde baada ya kuona kachakachuliwa.

Obviously sina uwezo wa kuweka evidence humu ndani, lakini muulizeni yule Ms. Mdee atawaeleza ukweli.

I'm just saying, halafu mnapata audacity ya kupiga makelele kuhusu rushwa. Look, ya'all can't win--not because CCM ni chama makini, its because you are not serious. Simplifying our problems, and offering populist ideas ili mshinde uraisi ndio maana wabongo wanawakataa.

By the way--Hai, Moshi Mjini, na kwa Zitto Kabwe. Patachimbika huko. Its not as easy kama wadau wanaoishi maisha ya kwenye internet wanavyofikiri.
 
Sasa muulizeni dada yenu Halima Mdee, kufanya mikutano ya siri usiku huko Madale, na kumuhonga (kutoa rushwa) kwa mwenyekiti wa mtaa wa CCM ili ampigie debe. And then akatuma vijana wake wakamdunde baada ya kuona kachakachuliwa.

You can also spin it in this way ... ""huyo mwenyekiti alivunja 'makubaliano' na kulipwa 'haki yake' aliyostahili"".
 
Wana Chadema wanajifanya wako pure sana. Pretending to be the ushers of new dawn of transparency and utawala bora (Although they can't even balance budget ya chama).

Sasa muulizeni dada yenu Halima Mdee, kufanya mikutano ya siri usiku huko Madale, na kumuhonga (kutoa rushwa) kwa mwenyekiti wa mtaa wa CCM ili ampigie debe. And then akatuma vijana wake wakamdunde baada ya kuona kachakachuliwa.

Obviously sina uwezo wa kuweka evidence humu ndani, lakini muulizeni yule Ms. Mdee atawaeleza ukweli.

I'm just saying, halafu mnapata audacity ya kupiga makelele kuhusu rushwa. Look, ya'all can't win--not because CCM ni chama makini, its because you are not serious. Simplifying our problems, and offering populist ideas ili mshinde uraisi ndio maana wabongo wanawakataa.

By the way--Hai, Moshi Mjini, na kwa Zitto Kabwe. Patachimbika huko. Its not as easy kama wadau wanaoishi maisha ya kwenye internet wanavyofikiri.

Tumekusikia bwana. Najua umepiga kura JF kumuokoa fisadi JK. Ukajaribu kurudia mara ya pili, Systema ikachomoa. Sasa unabaki kulalama. Unafura. Una hasira!! Kwa nini?

Kawambie na wana-ukoo wenu wajiunge JF wampigie kura JK.

Dr. Slaa for Life.
 
Wana Chadema wanajifanya wako pure sana. Pretending to be the ushers of new dawn of transparency and utawala bora (Although they can't even balance budget ya chama).

Sasa muulizeni dada yenu Halima Mdee, kufanya mikutano ya siri usiku huko Madale, na kumuhonga (kutoa rushwa) kwa mwenyekiti wa mtaa wa CCM ili ampigie debe. And then akatuma vijana wake wakamdunde baada ya kuona kachakachuliwa.

Obviously sina uwezo wa kuweka evidence humu ndani, lakini muulizeni yule Ms. Mdee atawaeleza ukweli.

I'm just saying, halafu mnapata audacity ya kupiga makelele kuhusu rushwa. Look, ya'all can't win--not because CCM ni chama makini, its because you are not serious. Simplifying our problems, and offering populist ideas ili mshinde uraisi ndio maana wabongo wanawakataa.

By the way--Hai, Moshi Mjini, na kwa Zitto Kabwe. Patachimbika huko. Its not as easy kama wadau wanaoishi maisha ya kwenye internet wanavyofikiri.


Heshima kwako Selemani,

Mkuu habari yako sijalewa vizuri ebu rudi tena utujulishe kulikoni uko kawe usijali sana vibweka vya JF wapo watu walio tayari kusikiliza hoja bila kujali zina unga mkono chama gani.


Jaribu kuleta hoja bila kuingiza ushabiki inaelekea unaishi Dar Kawe mambo ya Hai na Kigoma tuwaachie watu wa huko watupashe mkuu.
 
Wana Chadema wanajifanya wako pure sana. Pretending to be the ushers of new dawn of transparency and utawala bora (Although they can't even balance budget ya chama).

Sasa muulizeni dada yenu Halima Mdee, kufanya mikutano ya siri usiku huko Madale, na kumuhonga (kutoa rushwa) kwa mwenyekiti wa mtaa wa CCM ili ampigie debe. And then akatuma vijana wake wakamdunde baada ya kuona kachakachuliwa.

Obviously sina uwezo wa kuweka evidence humu ndani, lakini muulizeni yule Ms. Mdee atawaeleza ukweli.

I'm just saying, halafu mnapata audacity ya kupiga makelele kuhusu rushwa. Look, ya'all can't win--not because CCM ni chama makini, its because you are not serious. Simplifying our problems, and offering populist ideas ili mshinde uraisi ndio maana wabongo wanawakataa.

By the way--Hai, Moshi Mjini, na kwa Zitto Kabwe. Patachimbika huko. Its not as easy kama wadau wanaoishi maisha ya kwenye internet wanavyofikiri.

...presha inapanda, inashuka...
 
wewe unaeishi maisha ya sio ya internet, habari za kigoma na moshi umepata wapi? nawewe upo dar? acha ushabiki wa kijinga.
 
Ndiyo tatizo la kuwaza kwa kutumia tumbo badala ya ubongo. Huoni aibu kutetea mafisadi??? Mafisadi wote wa nchi hii wapo sisiem.
 
Wana Chadema wanajifanya wako pure sana. Pretending to be the ushers of new dawn of transparency and utawala bora (Although they can't even balance budget ya chama).

Sasa muulizeni dada yenu Halima Mdee, kufanya mikutano ya siri usiku huko Madale, na kumuhonga (kutoa rushwa) kwa mwenyekiti wa mtaa wa CCM ili ampigie debe. And then akatuma vijana wake wakamdunde baada ya kuona kachakachuliwa.

Obviously sina uwezo wa kuweka evidence humu ndani, lakini muulizeni yule Ms. Mdee atawaeleza ukweli.

I'm just saying, halafu mnapata audacity ya kupiga makelele kuhusu rushwa. Look, ya'all can't win--not because CCM ni chama makini, its because you are not serious. Simplifying our problems, and offering populist ideas ili mshinde uraisi ndio maana wabongo wanawakataa.

By the way--Hai, Moshi Mjini, na kwa Zitto Kabwe. Patachimbika huko. Its not as easy kama wadau wanaoishi maisha ya kwenye internet wanavyofikiri.

Seleman unashangaza sana tutamuulizaje MDEE wakati wewe ndie mtoa taarifa, eti unauwezo wa kuweka evidence sasa MDEE ndio ataweka evidence hivi wewe na akili zako timamu MDEE achakachue halafu aulizwe kama kweli amechakachua AKUBALI? mbona unanifanya nitilie shaka posts yako? umetumwa wewe hee. Kmama una ushahidi ndugu yangu usiongee tu ilimradi unatetea chama chako,

Basi wapeleke waandishi wa habari kwa mwenyekiti wenu wa mtaa aliyepewa RUSHWA na MDEE akapokea na kutokutekeleza makubaliano yao ili ushaidi uanze kukusanywa na uhakika wa ukweli wa habari yako upatikane japo robo. ILA NAKUTAADHALISHA MDEE NI MWANA SHERIA HIVYO ukitafuta uthibitisho kwa njia niliyokueleza usifanye mapishi utajikuta KISUTU kujibu tuhuma.(sikutishi)

CHA MSINGI wasilisha USHAIDI wa kuchakachua kwa MDEE. maana hata awe nani akiwa mla rushwa wachukia ufisadi atumkubali. Lakini tabia za umbea na majungu ya kualibia watu majina hapa JF ndio haukubaliki kabisaaaa sawa SELEMAN, fanyia kazi taarifa yako
 
Seleman chama kinachoongoza nchini kwa kukemea kwa nguvu zote ufisadi ni CHADEMA. Pamoja na uchache wa wabunge wao lakini kishindo chao kimewatikisa mafisadi wote nchini. Haiwezekani kamwe kwamba CHADEMA iwe inakemea na kufichua kiasi hicho ufisadi halafu upande wa pili nao wawe wanaendekeza tabia hiyo hiyo. Hata MDEE naye akibainika anachakachua mambo ili awe kiongozi basi atashughulikiwa kama mafisadi wengine tu. Mwisho ninapenda uelewe jambo moja tu "HAKUNA MAHALI AMBAPO MAFISADI WANAJISIKIA WAPO NYUMBANI KAMA SISIEM".
 
Wana Chadema wanajifanya wako pure sana. Pretending to be the ushers of new dawn of transparency and utawala bora (Although they can't even balance budget ya chama).

Sasa muulizeni dada yenu Halima Mdee, kufanya mikutano ya siri usiku huko Madale, na kumuhonga (kutoa rushwa) kwa mwenyekiti wa mtaa wa CCM ili ampigie debe. And then akatuma vijana wake wakamdunde baada ya kuona kachakachuliwa.

Obviously sina uwezo wa kuweka evidence humu ndani, lakini muulizeni yule Ms. Mdee atawaeleza ukweli.

I'm just saying, halafu mnapata audacity ya kupiga makelele kuhusu rushwa. Look, ya'all can't win--not because CCM ni chama makini, its because you are not serious. Simplifying our problems, and offering populist ideas ili mshinde uraisi ndio maana wabongo wanawakataa.

By the way--Hai, Moshi Mjini, na kwa Zitto Kabwe. Patachimbika huko. Its not as easy kama wadau wanaoishi maisha ya kwenye internet wanavyofikiri.

Ni vibaya kuweka habari za kutunga. Ila kama unapenda kufanya hivyo basi tumia akili watu wasijue. Bahati mbaya uwezo wako ni duni sana. Inabidi tuunge mkono sera ya elimu bure hadi form six. Usiikimbie elimu dunia ndugu.
 
Hatimaye na H.Mdee ameanza kuwa mwiba wa mafisadi pale Kawe,naona watu na magazeti wanaanza kumtengenezea skendo. Hamjua kama mnampa publicity kwa kumtangaza bila yeye kulipia. Sema mengi ili watu wazidi kumjua yeye ni nani,wakishamtambua basi atang'oa jimbo kiulaiiíni! Dada Halima yuko juu wakuu! Dr.SLAA ANAWEZA.
 
Wana Chadema wanajifanya wako pure sana. Pretending to be the ushers of new dawn of transparency and utawala bora (Although they can't even balance budget ya chama).

Sasa muulizeni dada yenu Halima Mdee, kufanya mikutano ya siri usiku huko Madale, na kumuhonga (kutoa rushwa) kwa mwenyekiti wa mtaa wa CCM ili ampigie debe. And then akatuma vijana wake wakamdunde baada ya kuona kachakachuliwa.

Obviously sina uwezo wa kuweka evidence humu ndani, lakini muulizeni yule Ms. Mdee atawaeleza ukweli.

I'm just saying, halafu mnapata audacity ya kupiga makelele kuhusu rushwa. Look, ya'all can't win--not because CCM ni chama makini, its because you are not serious. Simplifying our problems, and offering populist ideas ili mshinde uraisi ndio maana wabongo wanawakataa.

By the way--Hai, Moshi Mjini, na kwa Zitto Kabwe. Patachimbika huko. Its not as easy kama wadau wanaoishi maisha ya kwenye internet wanavyofikiri.

KAZI SIO RAHISI ndio maana wameogopa kufanya uchaguzi wa viti maalum ili kusudi HALIMA MDEE akikosa ubunge kawe jambo ambalo ni wazi atakosa waweze kumpa nafasi ya mbunge wa viti maalum.chadema acheni usanii cham hicho ni cha kujenga taifa sio cha watu wachache wote ni wale wale tuuu.hakuna jipya mnalotaka leta zaidi ya kuganga njaa tu.
 
Wana Chadema wanajifanya wako pure sana. Pretending to be the ushers of new dawn of transparency and utawala bora (Although they can't even balance budget ya chama).

Sasa muulizeni dada yenu Halima Mdee, kufanya mikutano ya siri usiku huko Madale, na kumuhonga (kutoa rushwa) kwa mwenyekiti wa mtaa wa CCM ili ampigie debe. And then akatuma vijana wake wakamdunde baada ya kuona kachakachuliwa.

Obviously sina uwezo wa kuweka evidence humu ndani, lakini muulizeni yule Ms. Mdee atawaeleza ukweli.

I'm just saying, halafu mnapata audacity ya kupiga makelele kuhusu rushwa. Look, ya'all can't win--not because CCM ni chama makini, its because you are not serious. Simplifying our problems, and offering populist ideas ili mshinde uraisi ndio maana wabongo wanawakataa.

By the way--Hai, Moshi Mjini, na kwa Zitto Kabwe. Patachimbika huko. Its not as easy kama wadau wanaoishi maisha ya kwenye internet wanavyofikiri.

Hivi imekuaje tena Mdee akaenda kugombea kwenye jimbo la Ubungo kwa Kamanda Mnyika??? Huyu Suleman hajui anachokisema kwa sababu Madale iko jimbo la Ubungo!!!!

Wamekamatika kila kona, mwaka huu hatudanganyiki!!!!!
 
Back
Top Bottom