Huyo ana vibali vyote vya kujenga hiyo nyumba, kwahiyo kabla ya kubomoa Serikali iwashughulikie kwanza waliompa ruhusa ya kujenga, na kwanini hawakusimamisha ujenzi wakati unaanza wanasubiri mpaka mtu anahamia?
....ignorance ya sheria isiwe na haiwezi kuwa excuse ya kuliacha hilo jengo..........
...pili....pamoja na kubomolewa huko....waliotowa vibali eneo husika wawajibishwe.....ili iwe fundisho kwa wengine.....