jogi
JF-Expert Member
- Sep 25, 2010
- 25,558
- 25,322
Kumbi na kumbinga!!!Hebu waeleze, cuz hawajui hata cdm ilianzaje! Kazi tu kushanikia pumba zao!
Kumbi na kumbinga!!!Hebu waeleze, cuz hawajui hata cdm ilianzaje! Kazi tu kushanikia pumba zao!
Bora muhuni anayejitambua kuliko mbumbumbu asiyejua wajibu wake
tena kubwa kwelikweli,hawajui bunge lina 50yrs,changes ndo zimekuja watakoma na vijana,kuna **** mmoja aliropoka eti katoka kuvuta bangi hivi ni nani atakua amevuta mdee au huyo shoga?Kazi ipo
kweli. Lakini waache kutuchanganya hawa magamba. Wanadhani bado ni bunge la enzi za TANU ''We want ze fire in the botro''(umeme). Bunge la sasa ni la kumalizana papo kwa papo, YanaishaBunge linastahili kuongozwa na mtu mwenye weledi wa sheria,kanuni na ukomavu wa hali ya juu kisiasa vinginevyo itakuwa ni malalamiko na vurugu tu
hamuwezi wewe na makinda au?Chadema kazi kuleta tu vurugu bungeni! 2015 ni mwisho wao! Hatuwezi kulea wahuni bungeni
We shida yako nini? Yaani lisipoonekana kwenye nyaraka ndiyo asiwe Mohammed? Umeuliza kama ni Mohammed ukajibiwa.AHAAAAAA. jee mbona jina hili halionekani ktk nyaraka zake zote?