Angepewa tiba kwanza then hayo mengine baadae
kama alikuwa anajua anaumwa kwanini anapanga mauaji! acha polisi waendelee kufanya kazi yao!
Masanilo my brother
Nawashauri kuwa makini sana na LWakatare.......... msije mkaingia chaka
yes it is not fair kunyimwa haki, lakini issue yake inabeba zaidi ya misalaba
kuna walionyimwa haki na jamii ikakaa kimya, hakuna uhakika wa 100% kwamba jamaa ni clean, his history is betraying him and the "system" has really done his homework in protecting the ruling community
Just handle this matter with care
msitudanganye huyu Bradley Manning huko kwenu amekuwa ndani siku ngapi. wale watu wa osama siku ngapi.
uingereza siku ngapi kama sio 28.
gaidi akifia ndani sawa tu
Nimekupata sana mkuuwapo wengi sana kama yeye, laiti ungejua ni wangapi wanafia mahabusu kwa kukosa haki.... ungeungana na wanaopigania haki sawa
My point hapa ni kwamba this thing is not new and it shouldnt be unexpected, ila ni LAZIMA IWE CHACHU YA KUTAFUTA UTAWALA WA SHERIA
Ala! leo hii tena ndo mnaaza kujua kuwa hata mtuhumiwa/muhalifu anayo haki ya kupata matibabu?
si ni nyinyi CDM mloshikilia mabango kuwa sheikh Ponda na viongozi wetu wa UAMSHO wasipewe haki hizo mnazozipigia makelele leo. Mkuki kwa nguruwe?
Kweli mtu anakuwa chini ya polisi kwa masaa karibu 72 bila kuwa charged na watu wanasema wanaheshimu 'utawala wa sheria'?
Kama Polisi wangekuwa na ushahidi wa kutosha kutengeneza kesi wangeshamfikisha mahakamani kwa mara ya kwanza ili awe charged. Sasa hivi inaonekana hawatafuti ukweli tena bali wanatafuta namna ya kuwa-tie watu wengine kwenye huu uzi ambao wanaamini wanao.
Hayo ya sheikh ponda nenda kayafungulie uzi wake jukwaa la dini.......hapa tunamzungumzia kamanda wetu
Kamanda wenu ni gaidy kama magaidi wengine tu, alikua aangalie Afya yk b4 hajaangalia watu Wa kuwaua
Sukari na ipande mpaka iwe asali shauri yake,mungu analipa hapa hapa duniani.
kama alikuwa anajua anaumwa kwanini anapanga mauaji! acha polisi waendelee kufanya kazi yao!
DKA on the way...