Ukosefu wa mafuta (sio uhaba), ukosefu wa umeme, ukosefu wa ajira, tofauti kubwa ya kipato kati masikini na matajiri na ugumu wa maisha kwa ujumla ni vitu vinavyopelekea hali ya usalama wa taifa letu kuwa hatarini.
Naona kabisa kuna siku watu wataingia mitaani, machafuko makubwa yatatokea na huenda yakamn'goa raisi na serikali yake madarakani.
Kwakweli hali ya usalama wa taifa letu ni mbaya na inatisha.
Mvunja nchi ni mwana nchi!! serikali hii ikitoka itakuja nyingine ye watanzania wala usihofu! CCM ikitoka kitakuja chama kingine cha watanzania wala si watu kutoka nje! so usihofu unless you have something to loose!