carmel
JF-Expert Member
- Aug 24, 2009
- 2,836
- 262
Hali ya uchumi imekuwa mbaya sana katika idara zote za serikali kuliko hata ile iliyowahi kuripotiwa wakati wa uchaguzi. Chanzo cha kuaminika kutoka idara moja nyeti kinasema wamepelekewa waraka mzito wa kuwaamuru kurudisha hazina OC walizokuwa wamepelekewa kwa ajili ya matumizi ya kazi za serikali. Kwa ufupi hata OC zenyewe kuna wizara yenye idara kama kumi inapelekewa sh miliion kumi which means kila idara ipewe million moja kwa mwezi na bado wanataka pesa hizo zirudishwe kwa kisingizio kuna watu hawajalipwa mishahara kwa hiyo bora kazi zote zisimame mishahara ilipwe. hali inatisha especially kwa sukari kufikia 2000 kwa kilo. Tunaenda wapi?
My Take: huu ni mkakati maalumu wa kutafuta fungu la kuilipa dowans.
Amueni wananchi wakati ni huu wa kufanya kama Tunisia.
My Take: huu ni mkakati maalumu wa kutafuta fungu la kuilipa dowans.
Amueni wananchi wakati ni huu wa kufanya kama Tunisia.