bata mzinga au bata maji?siku za baridi wa wanakula sana bata kama hotel yangu leo ipo full booked naomba hali mpaka kesho ibaki hivi hivi
Anakuwa wa barid sana
siku za baridi wa wanakula sana bata kama hotel yangu leo ipo full booked naomba hali mpaka kesho ibaki hivi hivi
Hahahahaaaa bata wake wakati wa mvua lazma atakuwa mchafuSasa ana ladha gani? Si kujitafutia indigestion na kujamba hovyo?