Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,899
- Thread starter
- #61
Umeshamwambia tikiti maji anakula mara ngapi kwa saa?Sasa kwanini ana mnasema yeye ni kamanda? Kamanda hata wiki akikosa kula bado anakuwa na nguvu sasa huyu Lema ni kamanda gani?
Kamanda wa kula?