Hali tete mgodi wa Bulyanhulu (Kahama)

Nashauri, wangeungana na wafanyakazi wengine(sio wa barick tuu) kuandaa mabango yenye ujumbe mzito na kuandamana mpaka kieleweke.
Njia nyingine ni kususia shughuli za serikali kama Sensa ili ku'express kilio chao.
Nasema tena kuwagomea wawekezaji wakati yenye matatizo ni Serikali yao, sio njia nzuri(kwa maoni yangu)
La sensa linaingia kichwani.w
 
Shangaa na wewe! Kwanza serikali haina control juu ya dhahabu inayosafirishwa kutoka hapo direct export! Seuze kuleta wanajeshi?

Umeonaaaaa eh,nchi ishakwisha hakuna usalama wowote mama anajichukulia ziwa lote sie tumelala huku!
 
siwaelewi kumgomea muajiri wanamaanisha nini!!? au ndo kweli kuwa ukifanya kazi migodini ile mikelele ya baruti huathiri mfumo wa uelewa matokeo yake unaanza umasaburi!!
 
siwaelewi kumgomea muajiri wanamaanisha nini!!? au ndo kweli kuwa ukifanya kazi migodini ile mikelele ya baruti huathiri mfumo wa uelewa matokeo yake unaanza umasaburi!!

Wafanyakazi wanamgomea mwajiri kwasababu rais wako hata ungemwambia nini wewe Mtanzania huwa haelewi, ila mzungu akija na kumwomba chochote huyu rais wako hufanya, kwahiyo jamaa wamogoma kwa vile wanajua Mzungu anaouwezo wa kuongoa na raisi wako na atatekeleza kilucho umbwa na Mzungu.

Kwa ujumla wake, sheria hii ya SSRA ni kandamizi, serikali haijachangia chochote kwenye hizo pesa, vipi ilete sheria na namna na lini uchukue pesa zako? huu ni wizi wa mchana kweupe, Tanzania, sijui nani katuloga haki ya nani!?
 
Naona mnafukua makaburi ili kuharalisha maamuzi ya kuzuia mchanga baada ya kuona ripoti ya maprof ilikuwa ni ya kupikwa, kinachoendelea ni kutafuta uruma ya wananchi .
 
Back
Top Bottom