aibu kubwa......walikopa hela ya mishahara standard chatared,wakakopa nssf wakaja kukopa backlays....na huko madeni hawaja clear....alafu dr jakaya anakula tripu majuu
Kwa kifupi ni Bora huyu J.K aweze kukabidhi Nchi kwani hali imekuwa mbaya sana, Huwa kwa mtu yeyote mwenye nia njema na Taifa lake lazima asikitike sana kwa kumwona mkuu wa Nchi anakula raha nje ya nje kwa takribani week nzima huku wananchi wakiwa wanataabika kwa matatizo ndani ya Taifa lake.
Kwa kweli mimi kama mzalendo wa Nchi hii nasikitika sana kuwaona viongozi wetu wa Kitaifa wanachanja mbuga huku na huko huku wananchi wakiwa wanahangaika sana!!!!!!
aibu kubwa......walikopa hela ya mishahara standard chatared,wakakopa nssf wakaja kukopa backlays....na huko madeni hawaja clear....alafu dr jakaya anakula tripu majuu
maana yake ni kwamba paymaster general hana hela ya kulipa.anaza implication is kwenye consolidated account iliyoko bot hamna kitu.na hii account ndo inatumika kuhamisha hela kwenda kwenye account za matumizi
Hawa jamaa wametuibia sana kiasi kwamba wizi wamekuwa wengi kuliko waibiwa, tusubiri tuone ila sisi wa serikarini tutakoma ubishi yaani itatuchukua miaka kama mitano mingine ili uchumi ustable
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.