kweli tunawajua kwa vile mlivyo ma 'al quaida',wasio na ustahimilivu, wapenda fujo na vita, waabuduo................ila kwa hili. hebu acheni sheria ifuatwe. aadhibiwe vya kutosha.......kwa vike alivyo kinara wa matukio hasi hapa nchini, nachelea kuwa huyu ndiye osama wa tz. dini gani hii inahamasisha ghasia? si bora mkawa chama cha upinzani tuelewe kimoja?
Hizi lugha za namna hii zisiletwe hapa jamvini kwa watu wenye hekima, we want solutions here and not to increase disturbances to our people! mod mko wapi piga ban hizo............heshima lazima iwepo, wewe si umejibagua kutoka kwetu, basi subiri mziki mnene uko mlangoni ! hatuwezi kuwa second class citizen !
Hao waloenda huko wametumia sheria gani??? Sijawahi sikia mtikila amekamatwa wakristu wakaenda kuandamana aachiwe!! Waache sheria za nchi zichukue mkondo wake maana hamna aliye juu ya sheria.....
Ndio maana waislam tunadharaulika kwaajili ya kufanya mambo kienyeji
Mod mko wapi mtu anapoweka jamvini lugha sio ya kawaida lazima aweke tafsiri asije akawa anatumia jamvi kuchochea maandamano.
East Africa Television (EATV) BREAKING NEWS: Waumini wa dini ya Kiislamu wanaosadikiwa kuwa wafuasi wa Sheikh Issa Ponda wapo makao makuu ya Polisi jijini Dar es Salaam wakitaka aachiwe baaada ya kukamatwa, Huko Zanzibar pia, wafuasi wa kikundi cha uamsho wafanya vurugu kwa madai ya kutekwa kwa kiongozi wao.
Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
...........heshima lazima iwepo, wewe si umejibagua kutoka kwetu, basi subiri mziki mnene uko mlangoni ! hatuwezi kuwa second class citizen !
Kojolea hapo uone kimbembe......
Wakimuachia kwa shinikizo la maandamano, basi tutakuwa tumefikia mwisho wa utawala wa sheria na tutakuwa tumebakiza utawala wa kiislamu. Mungu epushia mbali balaa hili.
Copy: rizt