N Naytsory JF-Expert Member Nov 3, 2011 2,192 791 Apr 2, 2012 #61 Tunaomba mawakala wa Chadema mlioko ndani muwe makini na hizo fomu za matokeo kwani ni rahisi kuwa na form nyingine iliyokwisha jazwa kabla.
Tunaomba mawakala wa Chadema mlioko ndani muwe makini na hizo fomu za matokeo kwani ni rahisi kuwa na form nyingine iliyokwisha jazwa kabla.
King Kong III JF-Expert Member Oct 15, 2010 51,603 68,514 Apr 2, 2012 #62 Sisiemu wasichezee machalii wa atown wewe wapo fiti mbaya!