MAMMAMIA
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 3,811
- 1,603
​kama ni mfuasi wa ccm aliyekufa safi saaaaaaaaaaaaaana maana mmeuwa chadema wengi tit 4 tat is lovelly job
sweetlady dear, don't be like them.Na kama hawajafa ndugu zako kweli Mungu awaue usiku wa leo wote!
​ni haki na amani kwa tanzania kama ccm wakifa wote
​mwigulu na ccm wake ni majambazi wastahili adhabu ya kifo na siku zao zinahesabiwa kama wamemtuma mkenya sisi tutatuma mcongo
Heri kifo kinachotafuta haki kuliko aman inayopumbaza M4c daima
Hawa magunster wamezidi sasa kutaka damu za watu nenden kuzimu magamba hamna lolote zaidi ya uuwaji
Kusema kweli nimesikitishwa sana kauli hizo hapo juu. Siasa ni upinzani na sio uadui, lakini bahati mbaya tumeshakuwa maadui wa kumwaga damu. Tendo la kuwa wao wamefanya, halitupi kibali na sisi kufanya kama wao.
Wana JF, kaam ushauri tu "nyimbo mbaya haibembelezewi mtoto." Tuhubiri amani na sio chuki. Haya yanaweza kuanza kama cheche ya moto, tusipouzima hapa patakuwa hapakaliki.
Ushauri kwa MODS, msiruhusu JF kuwa jukwaa la kutangaza chuki kiasi hiki. Tushirikiane tuzibe ufa kabla ya kulazimika kujenga ukuta!
Last edited by a moderator: