Hali ni tete Arusha, Lema atingisha; Mwananchi laadimika!

Ibrah

JF-Expert Member
Mar 22, 2007
2,729
528
Nimefika Arusha mida ya saa 10 jioni ya leo. Kawaida yangu huwa nanunua magazeti 3 kila Jumapili, mawili kati ya hayo ni Mwananchi na Tanzania Daima, naweza kuvumilia kukosa Taznania Daima lakini huwa ni vigumu sana kulikosa Mwananchi. Nilipoingia Arusha nilipata magazeti mawili tu mojawapo Tanzania Daima lakini Mwananchi lilikuwa limeisha.

Kwa kuwa huwa sivumilii kokosa Mwananchi, ilipbidi nianze kulisaka maeneo yote ya mjini bila mafanikio! Nilipowauliza wauzaji kulikoni? Wakaniambia habari ya Ledma ndiyo imesababisha Mwananchi liwe lulu leo; muuzaji wa mwisho aliniambia wala nisijisumbue, siwezi kulipata Mwananchi Jumapili kwa sababu ya habari ya Mbunge Lema na picha yake (akiwa amelazwa hospitalini).

Wadau, Jeshi la Polisi Arusha linaweka mji wetu katika ali tete kwa sababu ya utendaji wake wa kisiasa. Kabla ya ACP RPC Matei hajaondolewa mambo yalotendeka yasingeweza kutokea maana kama angekuwa juha kama alivyo huyu OCD aliyeongoza Polisi kumpiga Lema basi siku ya kutangaza matokeo kungetokea vurugu ambayo haijapata kuonekana. Inasemekana RPC Matei ndiye aliyemlazimisha Mkurugenzi wa Manispaa kutangaza matokeo kama yalivyo kuwa (Lema kushinda) na hilo ndilo lililomgharimu hadi kuondolewa Ukamanda wa Polisi Arusha.

Watendaji kama RPC, OCD na Mkurugenzi wa Manispaa ya Arusha wanachochea vurugu hapa Arusha maana watu elfu 56 waliompa Lema kura zao, ikiwa wataingia mtaani basi itabidi Polisi wa Kilimanjaro na Manyara wahamie Arusha kwa muda.

Wito wangu kwa Serikali- KJ na Pinda ni kuwaonya watendaji wa serikali kuachana na kufanya kazi kwa ushabiki na badala yake waheshimu misingi ya kisheria kwenye utekelezaji wa kazi zao vinginevyo wasishangae kuona amani inapotea mikononi mwao.
 
Kaka hao ndo wametoa maagizo hayo, muda wao umebaki kidogo saaana.
 
Ni kweli gazeti limekuwa lulu . Hivi kinga ya mbunge ndio hii ya kuwapiga ?
 
wakuu.... nilishatoa maoni yangu kuwa katiba mpaya ibadilishe muundo wa vyombo vya dola... ikiwepo polisi... hatuhitaji jeshi la polisi... polisi si jeshi... tunahitaji Tanzania police service na sio Tanzania police force.... haya ndiyo matokeo ya police force kama chombo cha dola.... badala ya kulinda amani na ku enforce law kama jukumu lao wanatumia nguvu kwa matakwa ya watawala.... time is up now for a new draft constitution that will overhaule the policing organ of the state....

Instead of IGP (Inspector General of Police) ... should be DPS (Director of Police Services)... changes are inevitable
 
katika hali ya kushanga Andengenye amekanusha eti polisi hawa kumpiga Godblees Lema, ila walimkamata na baadae akawekewa dhamana kabla hajaanguka akiwa maeneo ya mkuu wa wilaya...
 
It seems sovereign is called a tyrant who knows no laws but his caprice. Unfortunately, Andengenye is one of the tyrant police we have! Let him be aware that time, which alone makes the reputation of men, ends by making their defects respectable.
 
Andengenye ameanza kutimiza wajibu uliompeleka Arusha, Ila tusimlaumu sana ni njaa tu ndio inayomsumbua.
 
If police are rewarded by their brutality against good citizens who are not members of CCM they'll soon lost their legitimacy as non-partisan, they been known as green guards. All over the world good governance always establishes good relationship between citizens and their leaders, thats why leaders are able to parsuade their citizens to participate in development programes. Unfortunate in Tanzania leaders are turning themselves into rulers by using POLICE and other state organs as leadership tools to enforce their will not to parsuade good citizens. When such point is reached lets count ourselves as a nation in backward direction. Andengenye an his cronyism doesn't knows who are they serving for, once they know that they'll be in safe position of executing their duties for pro bono.

Lets not repeat the 2001 mistakes where police were rewarded by killing innocents by BWM. Lets close that chapter and start new one of patriotism and love for the country no self serving. Rewarding tyranny will always produce more tyranies, if we let the Andengenye's actions fades by rewarding them, we have to expects more of these to become the practice and one day they'll fail to distinguish if no green combat has been worn.
 
katika hali ya kushanga Andengenye amekanusha eti polisi hawa kumpiga Godblees Lema, ila walimkamata na baadae akawekewa dhamana kabla hajaanguka akiwa maeneo ya mkuu wa wilaya...

HAHAHAHA HAHAHAH AHAHAHAH Andengenye daaaah HAHAHAHA HAHAHAHHAHAHAHA HAHAHAHHAHAHAHA HAHAHAHHAHAHAHA HAHAHAH
 
Ninyi watu wa Arusha mlimchagua mbunge kwa kura na ndie kiongozi wa kidemokrasia mnaemtambua. Huyo RPC pamoja na OCD sii viongozi wwalio na ridhaa yenu kuwepo hapo Arusha. Kama hao vibaraka wa JK amewatuma kuwanyanganya haki ya kujichagulia viongozi wenu na sasa wamegeuka na bila kuzingatia sheria na kanuni wanampiga mh. Mbunge wakataeni kabisa. Msiseme jeshi la polisi lampiga mbunge wenu hapana, ila chukueni picha za waliohusika kumpiga mbunge wenu kila mtu agawiwe halafu kisha watangazieni vita kwa kuwatafuta mmoja baada ya mwingine. Mkisema polisi mtawasababisha wajifiche kwenye umati wakati ni wachache wao mnaowafahamu wakiongozwa na ocd kwa agizo la rpc. Hivyo ndivyo mtakavyofanikisha kuondoa uovu wa haya maharamiya ya namna ya Every cost.
.
Arusha msilale mpaka kieleweke. Pia huyu kibaraka wa tlp nae mwekeni kwenye orodha ya wasaliti wenu na mtu hatari sana kwa mstakabali wa mchakato wa kukuza demokrasia nchini.
.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom