Haya mahoteli makubwa na yenye hadhi unayoijua wewe, si chochote wandugu wapendwa, ni rangi na mandhari ya nje tu ndio inayotupa uthubutu na kiburi cha kuingia na kuagiza chakula.
Kiuhalisia, ni kinyaa tu wapendwa. Ama kweli nimeamini chakula kisafi ni kile unachoandaa wewe mwenyewe na pengine mkeo au ndugu yako wa karibu unayemwamini.
Vyakula kwa ajili ya biashara au jamii usiombe kuona matayarisho wala wapishi wake, utatapika nyongo.
Kuna wenye mafua, wenye upele, wenye majasho na vikwapa, walio toka ****** (pata picha kama maeneo ya siri ana magonjwa ya zinaa na ameyashika)/ kutumbua chunusi / rekebisha au badili pedi muda mfupi kabla ya kuandaa chakula, kachumbali /chuice na matunda etc
Hawa wote au baadhi yao hawakosi maeneo ya jikoni na mara nyingi hawapaswi by law kuonwa na wateja. Ndio maana utakuta kwenye milango ya jikoni kuna tangazo la "Staff Only"
Huko kwa akina mama ntilie sitaki kabisa hata kufikiria.
Mi siku hizi nikiingia mahotelini, nanunua vyakula au vinywaji vilivyotengenezwa angalau viwandani,eg soda na biscuit, na huwa nakula kwa matumaini tu.
Kiuhalisia, ni kinyaa tu wapendwa. Ama kweli nimeamini chakula kisafi ni kile unachoandaa wewe mwenyewe na pengine mkeo au ndugu yako wa karibu unayemwamini.
Vyakula kwa ajili ya biashara au jamii usiombe kuona matayarisho wala wapishi wake, utatapika nyongo.
Kuna wenye mafua, wenye upele, wenye majasho na vikwapa, walio toka ****** (pata picha kama maeneo ya siri ana magonjwa ya zinaa na ameyashika)/ kutumbua chunusi / rekebisha au badili pedi muda mfupi kabla ya kuandaa chakula, kachumbali /chuice na matunda etc
Hawa wote au baadhi yao hawakosi maeneo ya jikoni na mara nyingi hawapaswi by law kuonwa na wateja. Ndio maana utakuta kwenye milango ya jikoni kuna tangazo la "Staff Only"
Huko kwa akina mama ntilie sitaki kabisa hata kufikiria.
Mi siku hizi nikiingia mahotelini, nanunua vyakula au vinywaji vilivyotengenezwa angalau viwandani,eg soda na biscuit, na huwa nakula kwa matumaini tu.