Mag3
Platinum Member
- May 31, 2008
- 13,064
- 22,757
Leo hii Nape Nnauye aliingia humu na kuanzisha thread inayosema, Kutumia marehemu kisiasa ni zaidi ya kufilisika kisiasa na sasa polisi twaambiwa wameiba maiti na kuwapiga wananchi mabomu. Je ni vigumu kujua haya maamuzi yamefanyika katika kikao cha namna gani gani ? CCM mbona mnatupeleka pabaya, shame on you Kikwete !