Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 234
Hali ngumu ya maisha kwa Watanzania wengi kunatajwa kuwa ndiyo sababu kubwa ya msingi ya kumn'goa JK Jumapili ijayo.
Kwa mfano tu -- kama alivyosema Dr Slaa jana kwamba zaidi ya nusu ya Watz waliokuwa wanakunywa chai mwaka 2005, sasa hivi hawanywi chai kwa kushindwa kumudu bei ya sukari.
Hali kadhalika bei za mababati na saruji zitachangia sana kumpa Dr wa ukweli kura za kuingia Ikulu.
Kwa mfano tu -- kama alivyosema Dr Slaa jana kwamba zaidi ya nusu ya Watz waliokuwa wanakunywa chai mwaka 2005, sasa hivi hawanywi chai kwa kushindwa kumudu bei ya sukari.
Hali kadhalika bei za mababati na saruji zitachangia sana kumpa Dr wa ukweli kura za kuingia Ikulu.