regam
JF-Expert Member
- Jan 4, 2011
- 269
- 51
Katika hoyuba yake kwenye maadhimisho ya miaka 50 ya uhuru (wa Tanganyika au Tanzania) Raisi Dr Dr Kikwete ameendelea kulalamika ya kuwa hali mbaya ya uchumi wa Tanzania inatokana na misingi mibovu tuliyoachiwa na wakoloni.
Jamani hivi hii imekaaje? (Tujadili)
Jamani hivi hii imekaaje? (Tujadili)