HALI MBAYA, CHADEMA yazidi kupukutika moshi

kakakuona40

JF-Expert Member
Oct 3, 2011
300
52
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) mkoani Kilimanjaro kimevunja ngome ya Chadema katika Kata ya Mji Mpya katika Manispaa ya Moshi, baada ya kuvuna wanachama 75 akiwemo Katibu Mwenezi wa kata hiyo, Ludy Mlaki.

Akipokea wanachama hao, Katibu wa CCM mkoani humo, Stephen Kazidi alisema wanachama hao wapya pamoja na ugeni wao ndani ya chama lakini pia wana haki za kuomba nafasi yoyote ya uongozi ndani ya uchaguzi wa chama.

Akizungumza katika mkutano wa hadhara katika kata hiyo baada ya kufungua mashina matatu ya wakereketwa wa CCM na kushusha bendera za Chadema katika kata hiyo, Kazidi aliwataka wanachama hao wapya wasitishwe na viongozi wa chama walichotoka.


“Nimepata taarifa kuwa waliojiunga na CCM wameanza kupokea vitisho kutoka katika vyama walivyotoka, ninyi kuweni na amani, mkipata vitisho vyovyote toeni taarifa katika vyombo vya dola…siasa siyo vita, lakini mtu halazimishwi kuwa mwanachama,” alisema.

Alisema chama kitawezesha matawi hayo kuwa na miradi ya kiuchumi katika kipindi kifupi kijacho kwani wanatambua kwamba vijana wanahitaji ajira na uanzishwaji wa miradi ndiyo ukombozi wao.

Katibu huyo aliwataka wana CCM kuchukua fomu za kugombea nafasi mbalimbali za uongozi katika uchaguzi mkuu ndani ya chama ili kuweka safu imara itakayokisaidia chama kushinda katika uchaguzi wa mwaka 2015.

Akizungumza baada ya kupokea kadi ya CCM, Mlaki alisema amejitoa Chadema kutokana na ubabaishaji unaofanyika ikiwemo ahadi hewa na unyanyasaji dhidi ya wananchi.

Alidai kwa kipindi chote akiwa Chadema, amekuwa akihamasishwa kufanya maandamano na kugomea shughuli mbalimbali za maendeleo bila kujali kuwa wanaoathirika ni wao wenyewe.

Source: HabariLeo | CCM ‘yainyanyasa’ Chadema Moshi
 
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) mkoani Kilimanjaro kimevunja ngome ya Chadema katika Kata ya Mji Mpya katika Manispaa ya Moshi, baada ya kuvuna wanachama 75 akiwemo Katibu Mwenezi wa kata hiyo, Ludy Mlaki.

Akipokea wanachama hao, Katibu wa CCM mkoani humo, Stephen Kazidi alisema wanachama hao wapya pamoja na ugeni wao ndani ya chama lakini pia wana haki za kuomba nafasi yoyote ya uongozi ndani ya uchaguzi wa chama.

Akizungumza katika mkutano wa hadhara katika kata hiyo baada ya kufungua mashina matatu ya wakereketwa wa CCM na kushusha bendera za Chadema katika kata hiyo, Kazidi aliwataka wanachama hao wapya wasitishwe na viongozi wa chama walichotoka.


"Nimepata taarifa kuwa waliojiunga na CCM wameanza kupokea vitisho kutoka katika vyama walivyotoka, ninyi kuweni na amani, mkipata vitisho vyovyote toeni taarifa katika vyombo vya dola…siasa siyo vita, lakini mtu halazimishwi kuwa mwanachama," alisema.

Alisema chama kitawezesha matawi hayo kuwa na miradi ya kiuchumi katika kipindi kifupi kijacho kwani wanatambua kwamba vijana wanahitaji ajira na uanzishwaji wa miradi ndiyo ukombozi wao.

Katibu huyo aliwataka wana CCM kuchukua fomu za kugombea nafasi mbalimbali za uongozi katika uchaguzi mkuu ndani ya chama ili kuweka safu imara itakayokisaidia chama kushinda katika uchaguzi wa mwaka 2015.

Akizungumza baada ya kupokea kadi ya CCM, Mlaki alisema amejitoa Chadema kutokana na ubabaishaji unaofanyika ikiwemo ahadi hewa na unyanyasaji dhidi ya wananchi.

Alidai kwa kipindi chote akiwa Chadema, amekuwa akihamasishwa kufanya maandamano na kugomea shughuli mbalimbali za maendeleo bila kujali kuwa wanaoathirika ni wao wenyewe.

Source: HabariLeo | CCM ‘yainyanyasa' Chadema Moshi

Duh Mungu inusuru CDM isije ikawa historoa inakoelekea siko sasa !

 
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) mkoani Kilimanjaro kimevunja ngome ya Chadema katika Kata ya Mji Mpya katika Manispaa ya Moshi, baada ya kuvuna wanachama 75 akiwemo Katibu Mwenezi wa kata hiyo, Ludy Mlaki.

Akipokea wanachama hao, Katibu wa CCM mkoani humo, Stephen Kazidi alisema wanachama hao wapya pamoja na ugeni wao ndani ya chama lakini pia wana haki za kuomba nafasi yoyote ya uongozi ndani ya uchaguzi wa chama.

Akizungumza katika mkutano wa hadhara katika kata hiyo baada ya kufungua mashina matatu ya wakereketwa wa CCM na kushusha bendera za Chadema katika kata hiyo, Kazidi aliwataka wanachama hao wapya wasitishwe na viongozi wa chama walichotoka.


"Nimepata taarifa kuwa waliojiunga na CCM wameanza kupokea vitisho kutoka katika vyama walivyotoka, ninyi kuweni na amani, mkipata vitisho vyovyote toeni taarifa katika vyombo vya dola…siasa siyo vita, lakini mtu halazimishwi kuwa mwanachama," alisema.

Alisema chama kitawezesha matawi hayo kuwa na miradi ya kiuchumi katika kipindi kifupi kijacho kwani wanatambua kwamba vijana wanahitaji ajira na uanzishwaji wa miradi ndiyo ukombozi wao.

Katibu huyo aliwataka wana CCM kuchukua fomu za kugombea nafasi mbalimbali za uongozi katika uchaguzi mkuu ndani ya chama ili kuweka safu imara itakayokisaidia chama kushinda katika uchaguzi wa mwaka 2015.

Akizungumza baada ya kupokea kadi ya CCM, Mlaki alisema amejitoa Chadema kutokana na ubabaishaji unaofanyika ikiwemo ahadi hewa na unyanyasaji dhidi ya wananchi.

Alidai kwa kipindi chote akiwa Chadema, amekuwa akihamasishwa kufanya maandamano na kugomea shughuli mbalimbali za maendeleo bila kujali kuwa wanaoathirika ni wao wenyewe.

Source: HabariLeo | CCM ‘yainyanyasa' Chadema Moshi
Nsamburo yupo kweli?
 
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) mkoani Kilimanjaro kimevunja ngome ya Chadema katika Kata ya Mji Mpya katika Manispaa ya Moshi, baada ya kuvuna wanachama 75 akiwemo Katibu Mwenezi wa kata hiyo, Ludy Mlaki.

Akipokea wanachama hao, Katibu wa CCM mkoani humo, Stephen Kazidi alisema wanachama hao wapya pamoja na ugeni wao ndani ya chama lakini pia wana haki za kuomba nafasi yoyote ya uongozi ndani ya uchaguzi wa chama.

Akizungumza katika mkutano wa hadhara katika kata hiyo baada ya kufungua mashina matatu ya wakereketwa wa CCM na kushusha bendera za Chadema katika kata hiyo, Kazidi aliwataka wanachama hao wapya wasitishwe na viongozi wa chama walichotoka.


“Nimepata taarifa kuwa waliojiunga na CCM wameanza kupokea vitisho kutoka katika vyama walivyotoka, ninyi kuweni na amani, mkipata vitisho vyovyote toeni taarifa katika vyombo vya dola…siasa siyo vita, lakini mtu halazimishwi kuwa mwanachama,” alisema.

Alisema chama kitawezesha matawi hayo kuwa na miradi ya kiuchumi katika kipindi kifupi kijacho kwani wanatambua kwamba vijana wanahitaji ajira na uanzishwaji wa miradi ndiyo ukombozi wao.

Katibu huyo aliwataka wana CCM kuchukua fomu za kugombea nafasi mbalimbali za uongozi katika uchaguzi mkuu ndani ya chama ili kuweka safu imara itakayokisaidia chama kushinda katika uchaguzi wa mwaka 2015.

Akizungumza baada ya kupokea kadi ya CCM, Mlaki alisema amejitoa Chadema kutokana na ubabaishaji unaofanyika ikiwemo ahadi hewa na unyanyasaji dhidi ya wananchi.

Alidai kwa kipindi chote akiwa Chadema, amekuwa akihamasishwa kufanya maandamano na kugomea shughuli mbalimbali za maendeleo bila kujali kuwa wanaoathirika ni wao wenyewe.

Source: HabariLeo | CCM ‘yainyanyasa’ Chadema Moshi

Na bado siku za chadema zinahesabika mbowe kama hajajirekebisha tabia yake ya ubabe na dharau pamoja na unynyasaji kwa kutumia domo lake kwenye chama cha mkwe wake alicholishwa kiapo kwa kutoachia wengine kukiongoza wenye akili hawatakaa chadema. Huo ni mwanzo tuu msambaratiko uko njianiii
 
Nilistuka sana kumbe saurce habari leo! Habari leo, uhuru, mzalendo na tbc zote kazi yao moja tu, kufanyakazi ya kulinda magamba na ufisadi wake. Nani atoke cdm aende magamba? Hao ni watu wao wamekujanao kukamilisha zoezi na wanrudi nao.
 
Bahati nzuri hakuna asiyewajuwa wachaga kwenye dili za pesa, hayo ni maziombwe tu yanayofanyika.
 
Na bado siku za chadema zinahesabika mbowe kama hajajirekebisha tabia yake ya ubabe na dharau pamoja na unynyasaji kwa kutumia domo lake kwenye chama cha mkwe wake alicholishwa kiapo kwa kutoachia wengine kukiongoza wenye akili hawatakaa chadema. Huo ni mwanzo tuu msambaratiko uko njianiii

Uko kazini kuandika ulichotumwa.
 
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) mkoani Kilimanjaro kimevunja ngome ya Chadema katika Kata ya Mji Mpya katika Manispaa ya Moshi, baada ya kuvuna wanachama 75 akiwemo Katibu Mwenezi wa kata hiyo, Ludy Mlaki.

Akipokea wanachama hao, Katibu wa CCM mkoani humo, Stephen Kazidi alisema wanachama hao wapya pamoja na ugeni wao ndani ya chama lakini pia wana haki za kuomba nafasi yoyote ya uongozi ndani ya uchaguzi wa chama.

Akizungumza katika mkutano wa hadhara katika kata hiyo baada ya kufungua mashina matatu ya wakereketwa wa CCM na kushusha bendera za Chadema katika kata hiyo, Kazidi aliwataka wanachama hao wapya wasitishwe na viongozi wa chama walichotoka.


"Nimepata taarifa kuwa waliojiunga na CCM wameanza kupokea vitisho kutoka katika vyama walivyotoka, ninyi kuweni na amani, mkipata vitisho vyovyote toeni taarifa katika vyombo vya dola…siasa siyo vita, lakini mtu halazimishwi kuwa mwanachama," alisema.

Alisema chama kitawezesha matawi hayo kuwa na miradi ya kiuchumi katika kipindi kifupi kijacho kwani wanatambua kwamba vijana wanahitaji ajira na uanzishwaji wa miradi ndiyo ukombozi wao.

Katibu huyo aliwataka wana CCM kuchukua fomu za kugombea nafasi mbalimbali za uongozi katika uchaguzi mkuu ndani ya chama ili kuweka safu imara itakayokisaidia chama kushinda katika uchaguzi wa mwaka 2015.

Akizungumza baada ya kupokea kadi ya CCM, Mlaki alisema amejitoa Chadema kutokana na ubabaishaji unaofanyika ikiwemo ahadi hewa na unyanyasaji dhidi ya wananchi.

Alidai kwa kipindi chote akiwa Chadema, amekuwa akihamasishwa kufanya maandamano na kugomea shughuli mbalimbali za maendeleo bila kujali kuwa wanaoathirika ni wao wenyewe.

Source: HabariLeo | CCM ‘yainyanyasa' Chadema Moshi

Don't punic najua hao walikusanywa na kugawiwa kadi za magamba wamenunuliwa na kupewa pesa ili kufanya promo katika media ,na hii ndo imekuwa kawaida ya wanamagamba,kwa porojo magamba hamjambo,wananchi walishakichoka chama cha mafisadi,hata kwa mtutu wa AK 47 hawatakubali kuramba matapishi yao,kwa taarifa yako mimi nilikuwa miongoni mwao pesa tumepata 50,000 kila mtu na zote nimeshazinunulia bati na risti ninazo na hata kikao na makada wa CCEM nilikirekodi jinsi walivyosuka mkakati kufanikisha hilo.Kama huamini nitafute ntakupa full episodes coverage,ebo hiv unafikiri tumelala?????????????????????????,huo upuuzi waambie wakafanyie Morogoro,Pwani,Mtwara,Tabora,Dodoma na Tanga vinginevyo wakija hapa nchi ya uchagani tutaendelea kuwapoteza mangi.
 
Nilistuka sana kumbe saurce habari leo! Habari leo, uhuru, mzalendo na tbc zote kazi yao moja tu, kufanyakazi ya kulinda magamba na ufisadi wake. Nani atoke cdm aende magamba? Hao ni watu wao wamekujanao kukamilisha zoezi na wanrudi nao.

Ni kweli mkuu ndio maana wakaripoti kwenye gazeti lao la chama
 
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) mkoani Kilimanjaro kimevunja ngome ya Chadema katika Kata ya Mji Mpya katika Manispaa ya Moshi, baada ya kuvuna wanachama 75 akiwemo Katibu Mwenezi wa kata hiyo, Ludy Mlaki.

Akipokea wanachama hao, Katibu wa CCM mkoani humo, Stephen Kazidi alisema wanachama hao wapya pamoja na ugeni wao ndani ya chama lakini pia wana haki za kuomba nafasi yoyote ya uongozi ndani ya uchaguzi wa chama.

Akizungumza katika mkutano wa hadhara katika kata hiyo baada ya kufungua mashina matatu ya wakereketwa wa CCM na kushusha bendera za Chadema katika kata hiyo, Kazidi aliwataka wanachama hao wapya wasitishwe na viongozi wa chama walichotoka.


"Nimepata taarifa kuwa waliojiunga na CCM wameanza kupokea vitisho kutoka katika vyama walivyotoka, ninyi kuweni na amani, mkipata vitisho vyovyote toeni taarifa katika vyombo vya dola…siasa siyo vita, lakini mtu halazimishwi kuwa mwanachama," alisema.

Alisema chama kitawezesha matawi hayo kuwa na miradi ya kiuchumi katika kipindi kifupi kijacho kwani wanatambua kwamba vijana wanahitaji ajira na uanzishwaji wa miradi ndiyo ukombozi wao.

Katibu huyo aliwataka wana CCM kuchukua fomu za kugombea nafasi mbalimbali za uongozi katika uchaguzi mkuu ndani ya chama ili kuweka safu imara itakayokisaidia chama kushinda katika uchaguzi wa mwaka 2015.

Akizungumza baada ya kupokea kadi ya CCM, Mlaki alisema amejitoa Chadema kutokana na ubabaishaji unaofanyika ikiwemo ahadi hewa na unyanyasaji dhidi ya wananchi.

Alidai kwa kipindi chote akiwa Chadema, amekuwa akihamasishwa kufanya maandamano na kugomea shughuli mbalimbali za maendeleo bila kujali kuwa wanaoathirika ni wao wenyewe.

Source: HabariLeo | CCM ‘yainyanyasa' Chadema Moshi

Don't punic najua hao walikusanywa na kugawiwa kadi za magamba wamenunuliwa na kupewa pesa ili kufanya promo katika media ,na hii ndo imekuwa kawaida ya wanamagamba,kwa porojo magamba hamjambo,wananchi walishakichoka chama cha mafisadi,hata kwa mtutu wa AK 47 hawatakubali kuramba matapishi yao,kwa taarifa yako mimi nilikuwa miongoni mwao pesa tumepata 50,000 kila mtu na zote nimeshazinunulia bati na risti ninazo na hata kikao na makada wa CCEM nilikirekodi jinsi walivyosuka mkakati kufanikisha hilo.Kama huamini nitafute ntakupa full episodes coverage,ebo hiv unafikiri tumelala?????????????????????????,huo upuuzi waambie wakafanyie Morogoro,Pwani,Mtwara,Tabora,Dodoma na Tanga vinginevyo wakija hapa nchi ya uchagani tutaendelea kuwapoteza mangi.
 
Don't punic najua hao walikusanywa na kugawiwa kadi za magamba wamenunuliwa na kupewa pesa ili kufanya promo katika media ,na hii ndo imekuwa kawaida ya wanamagamba,kwa porojo magamba hamjambo,wananchi walishakichoka chama cha mafisadi,hata kwa mtutu wa AK 47 hawatakubali kuramba matapishi yao,kwa taarifa yako mimi nilikuwa miongoni mwao pesa tumepata 50,000 kila mtu na zote nimeshazinunulia bati na risti ninazo na hata kikao na makada wa CCEM nilikirekodi jinsi walivyosuka mkakati kufanikisha hilo.Kama huamini nitafute ntakupa full episodes coverage,ebo hiv unafikiri tumelala?????????????????????????,huo upuuzi waambie wakafanyie Morogoro,Pwani,Mtwara,Tabora,Dodoma na Tanga vinginevyo wakija hapa nchi ya uchagani tutaendelea kuwapoteza mangi.

hapo kwenye nyeusi mkuu hebu fanya maarifa tuipate ili Magamba yazidi
 
Mimi cnto hama cdm hata nkibaki pekeyangu! , kwani ukwel m1 unaweza pambana na yacyokweli 200.
 
Uko kazini kuandika ulichotumwa.

Waliokutuma waambie bado tuko makini,kila step tunayopiga mbele tunajua mahali tunapokanyaga,tuko fit zaidi isivyotarajiwa na wengi,waambie hatutasinzia na siyo kulala tu,kwakifupi tumejiaandaa kuchukua nchi by 2015,believe it or not,kama hutaki tafakari kwanini Mwal.Nyerere alimkataa Jeikei Na Tatizo uwazirimkuu,jibu siyo kwamba walikuwa bado boys,but Uwezo wa kuongoza nchi yetu na uadilifu wao ndivyo vilimpelekea mwalimu awakatae na kusemaa hawakuwanaga kauwezo ka kutuongozaga,ingawa wengi wanafikiri kuwa sababu ilikuwa ni ujana kitu ambacho siyo.
 
Wandugu wala hiyo story kwenye habari leo haitutishi. moshi wanajua itikadi yetu. sisiem mtaishia kunawa tu.
 
Back
Top Bottom