KALAMAZOO1
Senior Member
- Nov 23, 2011
- 119
- 6
Kama Tz haina dini sasa wa vatikan anatafuta nini? si anawakilisha dini huyu? Jumuia ya madola je ambayo mkuu wake lazima awe ni mkuu wa kanisa la Aglican mbona Tz ni mwanachama?Sioni connection kati ya kuwa na ubalozi VATICAN na Znz kujiunga na OIC.
Ivi hajui kuwa Vatican ni nchi na sio jumuia like OIC!
Tz akumbuke kuwa haina dini!