Saint Ivuga JF-Expert Member Aug 21, 2008 54,363 58,386 Dec 21, 2011 Thread starter #22 MTM said: huyo dada havutii kabisa... Click to expand... hahaa pata moja moto moja baridi tuone kama utatoa maneno kama haya
MTM said: huyo dada havutii kabisa... Click to expand... hahaa pata moja moto moja baridi tuone kama utatoa maneno kama haya
Soraya JF-Expert Member Oct 29, 2011 202 65 Dec 21, 2011 #23 Hawa wamiliki wa bendi na sehemu za starehe wanadhalilisha sana Wanawake.
kichomiz JF-Expert Member Feb 28, 2011 19,011 11,942 Dec 21, 2011 #24 tzjamani said: Ikimbieni zinaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa. Tutapona tu. Click to expand... Hivi zinaa inakimbiwa au inakimbiliwa?
tzjamani said: Ikimbieni zinaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa. Tutapona tu. Click to expand... Hivi zinaa inakimbiwa au inakimbiliwa?
only83 JF-Expert Member Oct 15, 2010 5,343 2,525 Dec 21, 2011 #25 Hawa wanafanya anayofanya huyo jamaa hapo juu....
N Nasolwa JF-Expert Member Jun 12, 2008 1,827 297 Dec 22, 2011 #26 Mpaka sasa dawa sahihi ya UKIMWI iliyokwisha kugunduliwa ni"KUACHA KUFANYA NGONO NZEMBE" full stop.
Biohazard JF-Expert Member Aug 21, 2011 2,197 1,459 Dec 22, 2011 #27 duuu kwani hashauriwi na wenzake huyo dada jinsi mwili wake ulivyochoka?
Maarifa JF-Expert Member Nov 23, 2006 4,568 2,911 Dec 22, 2011 #28 Hiyo yote ni mbinu ya shetani kuwavuta watu kwake ukiiisha fika basi you are in!!!
Narubongo JF-Expert Member Nov 3, 2010 2,768 2,750 Dec 22, 2011 #29 mkuu hapa hapana hata kama nina kiu kiasi gani labda wateja wa uwanja wa fisi, mnazi, sokota