hali hii sasa ni mbaya chonde tuone huruma...............

gfsonwin

JF-Expert Member
Apr 12, 2012
18,274
20,673
Wanajamvi leo naomba nia post hili hapa kwenye general forum ila nimeumia sana nafsini na siriaz najiuliza nini hatima ya hii nchi ama ya tunakoelekea? naomba ni nunukuu huu ujumbe kisha wewe utoe mchango wako.
nanukuu....

"Wachina si WAPUMBAVU kutengeneza vitu FAKE kulingana na fedha uliyonayo, na sisi WAALIMU tujitahd kuboresha bidhaa zetu(WANAFUNZI) katika kiwango cha FAKE zaid kulingana na malipo serikali inayotoa ya nini kutengeneza wanafunzi ORIGINAL ili hali serikali haina uwezo wa kugharamia vitu original? TOA ELIMU KULINGANA NA UWEZO WA MTEJA. we unasemaje? fanya hivyo mwaya. Tuma kwa walimuwengi tu"

ujumbe huu nimeupata kupitia simu yangu ya mkononi usiku huu.........tunaelekea wapi?
 
Tunaelekea fakeland, kwa usafiri fake, barabara fake na tukifika tunakuta nyumba fake, wenyeji fake, msosi fake, ukarimu fake, Maji fake, kitanda fake na hata usingizi fake!

my dearest it pains? am wondering what pple do think in this life........... just imagine we have kids and they need to get education and not all of us will afford expenses of private schools.

what will be the implication of such a message??? duh! this is too much.
 
Dawa(ARV's) fake,viongozi fake ,basi tabu tupu!!!
hao walioingiza ARV's fake wao walipata waalim wenye moyo na wakaperfom hivi je hawa amabo wanakusudiwa kutengenezwa fake unafkir wata perform vipi?
 
hao walioingiza ARV's fake wao walipata waalim wenye moyo na wakaperfom hivi je hawa amabo wanakusudiwa kutengenezwa fake unafkir wata perform vipi?

Kwa kweli hili jambo hili lilitakiwa litafutiwe ufumbuzi haraka sana!!
Hili ni JANGA LA TAIFA na kusema kweli bora magonjwa mengine kuliko hili la Ufake wa Elimu tunaoendeleza kuupalilia! Mwalimu anapodecide kwa moyo wake wote kumfundisha mtoto uongo,hakuna kitu mzazi unaweza kufanya kumbadilisha huyo mtoto!!
Chonde Chonde nyie viongozi mlio na dhamana ya Elimu kwa wananchi,Hima chukueni hatua!!It's just one button to press,i.e to pay them well!!
 
Rais fake, baraza la mawaziri fake, Wabunge fake, hao wanaotajwatajwa kugombea toka chama cha mapinduzi fake wote ni fake yoyote kati yao akiingia Ikulu atakuwa ni Rais fake kama huyu fake mwingine aliyekuwepo madarakani.
 
Kwa kweli hili jambo hili lilitakiwa litafutiwe ufumbuzi haraka sana!!
Hili ni JANGA LA TAIFA na kusema kweli bora magonjwa mengine kuliko hili la Ufake wa Elimu tunaoendeleza kuupalilia! Mwalimu anapodecide kwa moyo wake wote kumfundisha mtoto uongo,hakuna kitu mzazi unaweza kufanya kumbadilisha huyo mtoto!!
Chonde Chonde nyie viongozi mlio na dhamana ya Elimu kwa wananchi,Hima chukueni hatua!!It's just one button to press,i.e to pay them well!!
mkuu Marejesho unachokisema kina mantiki sana aijui kama kuna viongozi wanaoona haya mambo ama ambao wanataarifa na haya mambo.

istoshe sisi waalim hata kama hatulipwii jamani tusiwakomoe wanafunzi, hizi sms kweli zinaamsha hisisa mbaya sana miongoni mwetu na itafikia wakati tutakosa kabisa waalim wenye moyo wa kufundisha. impact si ka watoto wa tz tu bali hata kwa mtoto wako wewe mwenyewe mwl manake pengine hutoweza kusmesha mwanao mashule ya gharama. lets have empathy to them.
 
Rais fake, baraza la mawaziri fake, Wabunge fake, hao wanaotajwatajwa kugombea toka chama cha mapinduzi fake wote ni fake yoyote kati yao akiingia Ikulu atakuwa ni Rais fake kama huyu fake mwingine aliyekuwepo madarakani.

so tuendelee kufundisha wanafunzi ili wawe fake?
 
Hapana msifanye hivyo Mwalimu kwa manufaa ya Taifa letu siku za usoni...lakini inabidi tusiache kupambana na watu fake ambao wamekuwa wengi kupita kiasi ndani ya Serikali, mahakama, jeshi la polisi n.k.

so tuendelee kufundisha wanafunzi ili wawe fake?
 
Hapana msifanye hivyo Mwalimu kwa manufaa ya Taifa letu siku za usoni...lakini inabidi tusiache kupambana na watu fake ambao wamekuwa wengi kupita kiasi ndani ya Serikali, mahakama, jeshi la polisi n.k.

that is what am praying for kwamba tusifikie kutengeneza wanafunzi fake
 
  • Thanks
Reactions: BAK
fake fake fake kila kitu, ila si mama yangu ,ndg zangu wa tumbo moja, uafrika na utanganyika wetu
 
Back
Top Bottom