Lucchese DeCavalcante
JF-Expert Member
- Jan 10, 2009
- 5,471
- 733
Wakuu niko huko Tunduma kwa wiki sasa kibiashara wenyeji wamenitahadharisha kuwa kuna umafia mpya umeibuka hivi karibuni.
Wenyeji wanatabanaisha kuwa umeibuka umafia wa kutegesha burungutu la fedha barabarani na ukiokota tu unabadilika kuwa ng'ombe halafu waliotegesha wanakuchukua na kwenda kukuchinja kwa manufaa ya kishirikina.
Kwa umafia huu watu wa huku wameaanza kuwa na wasiwasi wa maisha yao na pia hawaziamini sana nyama za mabuchani.
Hii ni hatari sana yaani mkoa wa Mbeya una maajabu yasiyoelezeka.
Wenyeji wanatabanaisha kuwa umeibuka umafia wa kutegesha burungutu la fedha barabarani na ukiokota tu unabadilika kuwa ng'ombe halafu waliotegesha wanakuchukua na kwenda kukuchinja kwa manufaa ya kishirikina.
Kwa umafia huu watu wa huku wameaanza kuwa na wasiwasi wa maisha yao na pia hawaziamini sana nyama za mabuchani.
Hii ni hatari sana yaani mkoa wa Mbeya una maajabu yasiyoelezeka.