hapa daktari amesha discharge zaidi ya nusu ya wodi na bado pana congestion.mnaosupport serikali unajisikiajemkeo,dada yako au rafiki yako akikaa kwenye mazingira haya?
Daaah! Inasikitisha vile serikali yetu wala haioni kama ni tatizo. Jumapili nilimtembelea rafiki mount meru hosptal wodi ya wazazi( wazazi wapya na vichanga vyao) wamelala wa3 kitanda kimoja!
View attachment 46934View attachment 46934
hapa daktari amesha discharge zaidi ya nusu ya wodi na bado pana congestion.mnaosupport serikali unajisikiajemkeo,dada yako au rafiki yako akikaa kwenye mazingira haya?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.