hali halisi

Dr.Chichi

JF-Expert Member
Apr 30, 2008
2,394
631
hosp.jpg hosp.jpg
hapa daktari amesha discharge zaidi ya nusu ya wodi na bado pana congestion.mnaosupport serikali unajisikiajemkeo,dada yako au rafiki yako akikaa kwenye mazingira haya?
 
Daaah! Inasikitisha vile serikali yetu wala haioni kama ni tatizo. Jumapili nilimtembelea rafiki mount meru hosptal wodi ya wazazi( wazazi wapya na vichanga vyao) wamelala wa3 kitanda kimoja!
 
Back
Top Bottom