Mzito Kabwela
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 18,857
- 7,615
Nipo kwenye kituo cha kupigia kura hapa shule ya Nkuhungu, waliojitokeza ni wengi lakini vijana wametia fora! Taratibu zinakwenda vizuri na majina yapo yanaonekana vizuri. Wengine mtueleze kinachoendelea kwenye vituo vyenu.