Hayo CCM wameshayachukua confirmedCCM Dar yaelekea ubunge kubaki na majimbo mawili tu ya Temeke na Kigamboni.........hii siyo kazi ndogo hata kidogo........
Hongera mbunge wangu mpya!!ameshinda kwa mbali saana , halafu matokeo kamili baadae, think before you post mkuu
Halima mdee wa CHADEMA ameshinda KAWE kwa mbali sana matokeo rasmi punde