FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,374
Jamani hili ni Jimbo la CHADEMA kama la KAWE... Nawapongeza Mnyika na Mdee maana waitaipa changamoto Bunge Letu... wakimsaidia Zitto ambaye alionekana kama ndio nyota sio kwa sababu tu ya u-weledi wake bali pia kwa sababu tulikuwa tunamlinganisha na wazee wa kusinzia.
aieeeeeeeeeeeeeee kumbe na Halima Mdee mambo powa huko ...Dada kaza Buti tunakuhitaji sana na tuna imani mpaka mwisho matokeo ynatangazwa hilo jimbo lako madame :violin: