engmtolera
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,150
- 1,437
Lile vuguvugu la mageuzi lililoanzia Kaskazini mwa Afrika na ukanda wa nchi za Arabuni huenda limevuka Afrika ya Magharibi, Kati na Mashariki hadi kufika Kusini.
Baada ya vuguvugu kuanzishwa nchini Lesotho, sasa Botswana i halijojo kufuatia mgomo wa wafanyakazi uliosambaa hadi kusababisha wanafunzi kugoma, kuharibu majengo na hatimaye kulazimu shule kufungwa. Unaweza kuisoma taarifa hiyo ya kufungwa shule kufuatia vurugu kwa kubofya hapa.
Lakini mmoja wa rafiki aliyepo huko anaandika hivi:
Ugomvi ni "Mjeshi Mkuu" wa Serikali na Wafanyikazi.
Wanataka nyongeza ya asilimia 16, sababu hawajaongezwa tangu 2004, na maisha yamepanda sana.
"Mjeshi" akakataa, hakuna hela, mwishowe akasema atatoa asilimia 5.
Wafanyakazi wakaamua kugoma kwa wiki 2, Serikali ikapeleka "ishu" mahakamani wale wote walio katika huduma muhimu wasigome kulingana na mkataba. Mahakama ikapitisha, walio hospitali, maji, umeme nk., wakaambiwa warudi kwa amri ya mahakama.
Wakagoma.
Zilipoisha wiki 2 wakaendeleza mgomo... "indefinitely".
"Mjeshi" anapiga propaganda mgomo hauathiri chochote na hata wakigoma kwa miaka 5 haongezi kitu ng'o!
huduma zikazorota, Alhamis ikachukua sura mpya, shule moja ya high level ikalianzisha, "kwanini hatufundishwi?", Serikali inasema walimu wapo... wakati hawapo...
Wanafunzi "wakawapa kibano" walimu waliokuwa wanafundisha... "kwanini hawajajiunga na mgomo.
Waziri wa elimu akaenda.
Wakamkimbiza kwa mawe
Kasheshe ikaanzia hapo.
Ijumaa shule nyingine 2 zikaendeleza.
Leo, nchi nzima babake! Wanafunzi Sekondari hadi Primary wote wameingia kitaani... vurugu noma. Wana mawe, visu fimbo na chepeo.... Vunja ofisi za Serikali na gari za Serikali hata binafsi. Pora maduka.
Watu wakafunga kazi saa 3 asbhi kuogopa vurugu. Ikaletwa "FFU". Wakapiga watoto, vita ikaanza, bahati mbaya wakakamata askari mmoja... wakapiga wakaua, wakakamata mwalimu aliyekataa kugoma, wakapiga wakaua. Mwanafunzi mmoja pia kafa.
Wanapiga walimu na wanafunzi wanaoenda madarasani na yoyote anayetetea.
"Mjeshi akatuma helikopta kutawanya. Wakawapiga "tear gas", noma, wakachochea moto, ni noma.
wakatuma wajeshi sasa convoy kubwa, watoto wamefunga barabara zote, kali zaidi wengine ni std 1 wapo humo!!!
Waziiri wa elimu katangaza kufunga shule zote... indefinitely.
"Mjeshi" katangaza kufukuza kazi wote walio mgomoni as soon as possible.
Kesho sijui itakuwaje!!
source: Hali Botswana si shwari... vurugu zasababisha shule kufungwa kwa muda usiojulikana - Wavuti
Baada ya vuguvugu kuanzishwa nchini Lesotho, sasa Botswana i halijojo kufuatia mgomo wa wafanyakazi uliosambaa hadi kusababisha wanafunzi kugoma, kuharibu majengo na hatimaye kulazimu shule kufungwa. Unaweza kuisoma taarifa hiyo ya kufungwa shule kufuatia vurugu kwa kubofya hapa.
Lakini mmoja wa rafiki aliyepo huko anaandika hivi:
Ugomvi ni "Mjeshi Mkuu" wa Serikali na Wafanyikazi.
Wanataka nyongeza ya asilimia 16, sababu hawajaongezwa tangu 2004, na maisha yamepanda sana.
"Mjeshi" akakataa, hakuna hela, mwishowe akasema atatoa asilimia 5.
Wafanyakazi wakaamua kugoma kwa wiki 2, Serikali ikapeleka "ishu" mahakamani wale wote walio katika huduma muhimu wasigome kulingana na mkataba. Mahakama ikapitisha, walio hospitali, maji, umeme nk., wakaambiwa warudi kwa amri ya mahakama.
Wakagoma.
Zilipoisha wiki 2 wakaendeleza mgomo... "indefinitely".
"Mjeshi" anapiga propaganda mgomo hauathiri chochote na hata wakigoma kwa miaka 5 haongezi kitu ng'o!
huduma zikazorota, Alhamis ikachukua sura mpya, shule moja ya high level ikalianzisha, "kwanini hatufundishwi?", Serikali inasema walimu wapo... wakati hawapo...
Wanafunzi "wakawapa kibano" walimu waliokuwa wanafundisha... "kwanini hawajajiunga na mgomo.
Waziri wa elimu akaenda.
Wakamkimbiza kwa mawe
Kasheshe ikaanzia hapo.
Ijumaa shule nyingine 2 zikaendeleza.
Leo, nchi nzima babake! Wanafunzi Sekondari hadi Primary wote wameingia kitaani... vurugu noma. Wana mawe, visu fimbo na chepeo.... Vunja ofisi za Serikali na gari za Serikali hata binafsi. Pora maduka.
Watu wakafunga kazi saa 3 asbhi kuogopa vurugu. Ikaletwa "FFU". Wakapiga watoto, vita ikaanza, bahati mbaya wakakamata askari mmoja... wakapiga wakaua, wakakamata mwalimu aliyekataa kugoma, wakapiga wakaua. Mwanafunzi mmoja pia kafa.
Wanapiga walimu na wanafunzi wanaoenda madarasani na yoyote anayetetea.
"Mjeshi akatuma helikopta kutawanya. Wakawapiga "tear gas", noma, wakachochea moto, ni noma.
wakatuma wajeshi sasa convoy kubwa, watoto wamefunga barabara zote, kali zaidi wengine ni std 1 wapo humo!!!
Waziiri wa elimu katangaza kufunga shule zote... indefinitely.
"Mjeshi" katangaza kufukuza kazi wote walio mgomoni as soon as possible.
Kesho sijui itakuwaje!!
source: Hali Botswana si shwari... vurugu zasababisha shule kufungwa kwa muda usiojulikana - Wavuti