Hawataki kuona mtu mitaan
vulugu = vurugu
"SUGU" has arrived in Mbeya for peace negotiations almost 800 teenagers has been captured by police,but bombs still blasting
Mda huu wanatangaza kuwa ondokeni barabarani hawataki kuona mtu.
Kwa hiyo ghasia zimekwisha, siyo?
Sugu yupo njiani kuelekea huko,nadhani anaweza kwenda kutuliza huu mtafaruku.
Whu is sugu?Akili zake zimeishia kutukana clouds tu yoo!
Mkuu hata hiyo busara na akili hawana. Wao wanajua kuwa kumshirikisha Sugu ni kumpa umaarufu. Viongozi wa aina hii watatuharibia kabisa nchi yetu.