Swali la mimi na wewe kujiuliza ni je CHADEMA ndiyo sababu au ni siasa za blackmail ili kuonekana majimbo hayo yana matatizo ili kupata sababu ya kuchanga vema karata za kisiasa?
Kwa mfano tu Mbeya, je watu wa Mbeya wanalilia haki yao ya kuzalisha kwa ajili ya taifa au wanalilia haki ya kugombana bila sababu ya msingi?
vulugu = vurugu
Watu wa mbeya tafadhali tunasubiri constant flow ya updates.
Majimbo yanayaoongozwa na chadema ni vurugu tu, uzalishaji umesimama! Halafu tunalalamika tanzania masikin!
Nawasiwasi na elimu yako, ni kwamba wanachodai ni kwamba kwel waliambiwa wahame hapa, lakn serikali haikuwaonyesha maeneo ya kwenda, so waende wap?Majimbo yanayaoongozwa na chadema ni vurugu tu, uzalishaji umesimama! Halafu tunalalamika tanzania masikin!
daaah inasikitisha sana jana ndgu yangu kavunjiwa kioo cha gari wakati wa vurugu
vulugu = vurugu
Toka Jana? Hajafika tu?Sugu yupo njiani kuelekea huko,nadhani anaweza kwenda kutuliza huu mtafaruku.
kUNA UKWLEI NDANI KATIKA HILI KWANI SERIKALI HAIISHI KU SABOTAGE WANANCHI KWA KUWA TU WATU WA CHAMA CHAO HAWAKUCHAGULIWA NA UKUMBUKE HADI HAO WAPINZANI KUTANGAZWA WANANCHI WALITUMIA NGUVU YA ZIADA @REJAO HAPA KUPONA KWA SASA NI KWA SERIKALI YA CHAMA TAWALA KUBADILISHA HIZI DIRTY POLITICAL TACTICS NA KUACHA UKATILI WAO
nawasiwasi na elimu yako, ni kwamba wanachodai ni kwamba kwel waliambiwa wahame hapa, lakn serikali haikuwaonyesha maeneo ya kwenda, so waende wap? Wakati hao watu ndo maisha yao yanaenda kwa biashara hiyo, so usiwe unakurupuka tu jaribu kufikiri kwamba c wote wanaajira rasmi kama wew, so unapochangia jaribu kukumbuka ulipotoka usikute mama yako alikuwa anauza maandazi kweny sufuria lakni hakufanyiwa hvyo ndo maana leo unamaisha mazuri au una kazi, so tukumbuke tulipotoka
the best thing might be kuanzisha "hunt" dhidi ya familia zao polisi