Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,172
Yatakuwa yameletwa usiku toka Iringa, Songea, Rukwa n.k.
Nawajua watu wa Mbeya vizuri sana. Nimesoma huko Pri na Sec shools. Hayo mabom yatawaishia tena. kama hauamini muulize Akukweti.
Yatakuwa yameletwa usiku toka Iringa, Songea, Rukwa n.k.
Hili nililiona, jana wenzao wameuwawa kwa risasi unategemea leo wangelala tu?
Hakuna kiongozi hata mmoja aleamua kutoa taarifa na kuuomba umma wa Mbeya japo msamaha, lazima warudi njiani tena
Yatakuwa yameletwa usiku toka Iringa, Songea, Rukwa n.k.
amuulize Akukweti?si marehemu au msemo tu?Nawajua watu wa Mbeya vizuri sana. Nimesoma huko Pri na Sec shools. Hayo mabom yatawaishia tena. kama hauamini muulize Akukweti.
jamani huku sasa ni vita wakati najiandaa kwenda ofisini mana nipo kikazi huku ttcl kutoka hotelini mabomu yanapigwa sio mchezo watu wamejifungia kazi imeanza upya huu mgogoro utaweka historia ktk hii nchi naona magari ya matangazo yanapita kutangazia watu kwamba mapambano yasitishwe watu wakae mezani hali ni mbaya hivi hapa nafanya maarifa nitafte gari linalokuja dar nirud hata kazi cwez fanya vzur
si tulisika polisi wameishiwa mabomu?
itabidi serikali imwombe kiongozi wao/Mbunge sugu akatulize hali lasivyo mafisadi watatumia risasi mpaka zitaisha na huu ukata sijui watazinunua wapi.
Peoples power inafanya kazi.
jamani huku sasa ni vita wakati najiandaa kwenda ofisini mana nipo kikazi huku ttcl kutoka hotelini mabomu yanapigwa sio mchezo watu wamejifungia kazi imeanza upya huu mgogoro utaweka historia ktk hii nchi naona magari ya matangazo yanapita kutangazia watu kwamba mapambano yasitishwe watu wakae mezani hali ni mbaya hivi hapa nafanya maarifa nitafte gari linalokuja dar nirud hata kazi cwez fanya vzur
Yataisha tena na askari watachoka, watashindwa hasa pale familiua zao zinazoishi uswahilini na raia zitakapoanza kulipizwa kisasi. Hapo hali itazidi kuwa mbaya.
JK na Serikali yako muyatizame haya, Diplomasia ni kitu muhimu sana kuliko mtutu wa bunduki.