Said Bagaile
JF-Expert Member
- Jun 23, 2011
- 686
- 256
Kama itatoke, JK amelivunja baraza la Mawaziri kutokana na tuhuma za baadhi ya Mawaziri kuiibia nchi, na kisha akamshitaki hata mmoja wapo wa Mawaziri husika(hata kimagumashi tu kama ilivyo kwa akina Mramba na Mahalu), naahidi kwamba nitakwenda kukata kadi za CCM mimi na familia yangu na wafanyakazi wangu pamoja na hiyo nitakuwa nashinda pale ofisi za CCM Lumumba. Nitatafuata sehemu nyuma ya kichwa changu kujisahaulisha madudu yote ya Richmond, EPA, RADA, UDA, DOWANS, STIMULUS PACKAGE n.k.