Sajenti
JF-Expert Member
- Apr 24, 2008
- 3,651
- 412
....Point noted. Kumbe hapa ni suala la lugha gongana. Kwa kuwa wanyama walichukuliwa kutoka mbugani mpaka KIA na watu wakishuhudia kwa hiyo hawakutoroshwa...Good one!!Hii ni kejeli (satire) jamani, naunga mkono hoja. Hakuna wanyama waliotoroshwa. Walichukuliwa tu kwa kuwa wananchi tumeridhia wapokwe.