Kaka mwisho
JF-Expert Member
- Dec 19, 2011
- 402
- 164
Kuna wabunge wengi wapo matumbo joto wakihofia kupoteza majimbo yao mwaka 2015 lakini sio kwa Prof JUMA ATHUMANI KAPUYA mbunge (CCM) wa URAMBO MAGHARIBI(Wilaya mpya Kaliua) hakika Kapuya ametutoa mbali na kamwe hatutamtosa amefanya mazuri mengi na bado anaendelea. Ni mbunge ambaye hana maneno mengi zaidi ya vitendo. MUNGU MBARIK KAPUYA NA IBARIK KALIUA.