Heshima zenu wakuu,
nimekua nikiona watu wengi sana wakipotosha uma kua kula chipsi yai hupelekea kupungukiwa nguvu za kiume.
Maranyingi watu wamekua wakitumia mitandao ya kijamii kupotosha uma kupitia redio,magazeti, blogs, hata public forum kama jf bila kutoa facts za kisayansi(biologia) kuelezea jinsi gani kula chipsi yai hupelekea kuwahi kufika kileleni au kupunguza uwezo wa penis erection
Hali hii imepelekea wanaume wengi kuacha kula chipsi yai wakiamini kua itawapunguzia nguvu za kiume na kupelekea kufakamia ugali wa dona kama desturi
Ikumbukwe,chipsi yai inavirutubisho vya aina tatu,VIAZI ni chakula cha wanga kinachoongeza nguvu mwilini,mayai ni protein ambayo hujenga mwili na ndiyo component muhimu ya sperm,na mafuta huongeza joto.
Kwa upande wangu nimekula chipsi yai miaka nenda rudi sijawai hisi ulaji chipsi umepunguza ufanisi wa nguza za kiume
*MAMBO MUHIMU YANAYOPELEKEA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME:
1;PUNYETO/MASTERBATION.
99% ya wanaume wameshawai kupiga au wanaendelea na punyote hii haina ubishi,punyeto hulegeza misuli ya uume ambayo hupelekea kuwahi kufika mshindo au kuwa na uwezo duni wa kusimamisha,na hii ndo sababu kuu
2ICHA / VIDEO ZA UTUPU
hii kwa asilimia chache imepelekea kuzoea maumbile ambayo humtamanisha mwanaume,pia uvaaji nusu uchi wa kina dada umepelekea wanaume kuona viuongo kama mapaja, matiti n.k kua ni vya kawaida hata mnopokua 6 kwa 6 unaona vitu vya kawaida.
3.KUTOFANYA MAZOEZI AU KAZI ZA KUTOA JASHO
pumzi ni muhimu sana kwenye mechi,ukiwa na pumzi ndogo pia kiwango kitapungua.
pia siku hizi vijana hawafayi kazi ngumu kama kulima tangu mashuleni hadi wakiwa maofisini,zamani ilikua kawaida kijana kua na uwezo wa kulima heka 5 kwa mkono wako.ila maisha ya sikuhizi yamekua ya SOFT KOPY hakuna kazi ngumu ngumu.
4:MAGONJWA
Magonjwa kama kisukari,shinikizo la damu, ngiri hupunguza saana ufanisi wa jogoo
hivyo basi niwatoe wasi wasi wanaume/vijana wajiamini, na wasipate wasiwasi juu ya ulaji chipsi yai,maana kwetu mbeya ndio chakula chetu.
Nyiyi ambao hua mnasema wanaume/vijana wa sikuizi wamepungukiwa nguvu za kiume sababu ya kula chipsi yai huo uthibithitisho wa kisayansi mmeutoa wapi?
kama unaushaidi tiririka
note,kwa kupunguza maswali,mimi ni mwanaume wa mikoani
nawasilisha
nimekua nikiona watu wengi sana wakipotosha uma kua kula chipsi yai hupelekea kupungukiwa nguvu za kiume.
Maranyingi watu wamekua wakitumia mitandao ya kijamii kupotosha uma kupitia redio,magazeti, blogs, hata public forum kama jf bila kutoa facts za kisayansi(biologia) kuelezea jinsi gani kula chipsi yai hupelekea kuwahi kufika kileleni au kupunguza uwezo wa penis erection
Hali hii imepelekea wanaume wengi kuacha kula chipsi yai wakiamini kua itawapunguzia nguvu za kiume na kupelekea kufakamia ugali wa dona kama desturi
Ikumbukwe,chipsi yai inavirutubisho vya aina tatu,VIAZI ni chakula cha wanga kinachoongeza nguvu mwilini,mayai ni protein ambayo hujenga mwili na ndiyo component muhimu ya sperm,na mafuta huongeza joto.
Kwa upande wangu nimekula chipsi yai miaka nenda rudi sijawai hisi ulaji chipsi umepunguza ufanisi wa nguza za kiume
*MAMBO MUHIMU YANAYOPELEKEA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME:
1;PUNYETO/MASTERBATION.
99% ya wanaume wameshawai kupiga au wanaendelea na punyote hii haina ubishi,punyeto hulegeza misuli ya uume ambayo hupelekea kuwahi kufika mshindo au kuwa na uwezo duni wa kusimamisha,na hii ndo sababu kuu
2ICHA / VIDEO ZA UTUPU
hii kwa asilimia chache imepelekea kuzoea maumbile ambayo humtamanisha mwanaume,pia uvaaji nusu uchi wa kina dada umepelekea wanaume kuona viuongo kama mapaja, matiti n.k kua ni vya kawaida hata mnopokua 6 kwa 6 unaona vitu vya kawaida.
3.KUTOFANYA MAZOEZI AU KAZI ZA KUTOA JASHO
pumzi ni muhimu sana kwenye mechi,ukiwa na pumzi ndogo pia kiwango kitapungua.
pia siku hizi vijana hawafayi kazi ngumu kama kulima tangu mashuleni hadi wakiwa maofisini,zamani ilikua kawaida kijana kua na uwezo wa kulima heka 5 kwa mkono wako.ila maisha ya sikuhizi yamekua ya SOFT KOPY hakuna kazi ngumu ngumu.
4:MAGONJWA
Magonjwa kama kisukari,shinikizo la damu, ngiri hupunguza saana ufanisi wa jogoo
hivyo basi niwatoe wasi wasi wanaume/vijana wajiamini, na wasipate wasiwasi juu ya ulaji chipsi yai,maana kwetu mbeya ndio chakula chetu.
Nyiyi ambao hua mnasema wanaume/vijana wa sikuizi wamepungukiwa nguvu za kiume sababu ya kula chipsi yai huo uthibithitisho wa kisayansi mmeutoa wapi?
kama unaushaidi tiririka
note,kwa kupunguza maswali,mimi ni mwanaume wa mikoani
nawasilisha