Mkwawa
JF-Expert Member
- Jun 8, 2011
- 1,334
- 1,464
Haki imekuwa ikiiuzwa ikinunuliwa. Mahakama zetu zimekuwa sehemu ya hujuma bila woga ukandamizaji na udhalilishaji. haya yanatokea na wanayoyafanya haya ni wasomi na watu wanaoheshimika sana ndani ya jamii yetu.
Akihojiwa Jaji mstaafu wa mahakama kuu kwa jina moja namkumbuka kama Steven alikiri kuwa huwa ikulu hushinikiza hukumu kwenye kesi zenye maslahi na Ikuku, mtu wa ikulu au kiongozi wa ndani ya Ikulu. Inasikitisha sana.
Akihojiwa Jaji mstaafu wa mahakama kuu kwa jina moja namkumbuka kama Steven alikiri kuwa huwa ikulu hushinikiza hukumu kwenye kesi zenye maslahi na Ikuku, mtu wa ikulu au kiongozi wa ndani ya Ikulu. Inasikitisha sana.